MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Anamshtakia Hayati Rais Magufuli kwa Wamarekani?
2. Anataka Kujitofautisha nae ili Wamarekani wampe sana Misaada?
3. Anawaomba Msamaha Kidiplamasia ili Wamarekani wampende?
4. Anathibitisha kuwa Waafrika wote tuna PhD's za Unafiki na Uzandiki tukiwa mbele ya Wazungu?
5. Anawaambia kama ameshindwa kutoa Siri hiyo Kwetu Watanzania na kaenda kuitolea huko Marekani hivyo hata wakihitaji Siri zingine za Kuichukua moja kwa moja Tanzania and we are kuwapa tu?
6. Amewawashia Taa ya Kijani Wamarekani kuwa kwa sasa Tanzania iko chini ya Bibi Mstaarabu na siyo Mkorofi Mwerevu aliyeondoka na Israeli, hivyo wanaweza kuja kuendelea kufanya Tanzania ni Shamba lao la Bibi kama zamani?
7. Anawataarifu rasmi kuwa sasa Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni yao hivyo Washindwe tu wenyewe.
2. Anataka Kujitofautisha nae ili Wamarekani wampe sana Misaada?
3. Anawaomba Msamaha Kidiplamasia ili Wamarekani wampende?
4. Anathibitisha kuwa Waafrika wote tuna PhD's za Unafiki na Uzandiki tukiwa mbele ya Wazungu?
5. Anawaambia kama ameshindwa kutoa Siri hiyo Kwetu Watanzania na kaenda kuitolea huko Marekani hivyo hata wakihitaji Siri zingine za Kuichukua moja kwa moja Tanzania and we are kuwapa tu?
6. Amewawashia Taa ya Kijani Wamarekani kuwa kwa sasa Tanzania iko chini ya Bibi Mstaarabu na siyo Mkorofi Mwerevu aliyeondoka na Israeli, hivyo wanaweza kuja kuendelea kufanya Tanzania ni Shamba lao la Bibi kama zamani?
7. Anawataarifu rasmi kuwa sasa Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni yao hivyo Washindwe tu wenyewe.