Tushirikishane
Member
- Aug 9, 2016
- 13
- 67
Mbunge wa Kigamboni, Dr. Faustine Ndugulile Dr F. Ndugulile amekuwa akishirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Wananchi na Viongozi wa Manispaa katika kuleta maendeleo jimboni kwake kupitia mradi wa Tushirikishane.
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mh. Faustine Ndugulile (Kushoto) na Mwanzilishi mwenza na mmoja wa Wakurugenzi wa Jamii Media Mike Mushi (Kulia) baada ya kusaini makubaliano ya kushiriki katika utekelezaji wa Mradi wa Tushirikishane.
Kufanikiwa kwa maazimio haya ya maendeleo kunategemea pia mchango wa wadau mbalimbali wa maendeleo ndani na nje ya Manispaa ya Kigamboni.
Je una maoni yeyote kwa Mbunge kuhusu utekelezaji wa maendeleo jimboni mwake?
Una swali lolote kwa Mbunge? Unapendezewa na namna mbunge wako anafanya kazi?
Kwa mjadala wa Mradi wa Tushirikishane Kigamboni, tembelea => TUSHIRIKISHANE - Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mh. Faustine Ndugulile (Kushoto) na Mwanzilishi mwenza na mmoja wa Wakurugenzi wa Jamii Media Mike Mushi (Kulia) baada ya kusaini makubaliano ya kushiriki katika utekelezaji wa Mradi wa Tushirikishane.
Kufanikiwa kwa maazimio haya ya maendeleo kunategemea pia mchango wa wadau mbalimbali wa maendeleo ndani na nje ya Manispaa ya Kigamboni.
Je una maoni yeyote kwa Mbunge kuhusu utekelezaji wa maendeleo jimboni mwake?
Una swali lolote kwa Mbunge? Unapendezewa na namna mbunge wako anafanya kazi?
Kwa mjadala wa Mradi wa Tushirikishane Kigamboni, tembelea => TUSHIRIKISHANE - Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni