kujutia kuwasaidia watu hao ni ujinga kwani ni bora uwsaidie ili uwajue walivyo
power inawafanya watu wajioneshe tabia zao halisi
watu hawabadiliki,bali wanakuwa themeselves wanapopata power....
kujutia kuwasaidia watu hao ni ujinga kwani ni bora uwsaidie ili uwajue walivyo
kuna msemo unasema PATA PESA TUKUJUE TABIA ZAKO..
very true
And.....???
You ain't doing it?
Bado ni mabadiliko.....kutoka kwenye alichokua akionyesha mwanzo mpaka kwenye alivyo kweli (tukitegemea msemo wako wa kwamba power inamfanya mtu aonyeshe alivyo kweli)
Nwy hapo kwenye kujuta binafsi sijapenda kutumia hilo neno kwasababu kujuta hakusaidii. Swali langu ni kwamba kama mtu akipewa nafasi ya kurekebisha na kurudisha balance iliyokuwapo mwanzo atafanyeje?
Ukitaka kujua tabia halisi ya mtu mpe fedha au cheo....kuna watu wanalimbuka sana baada ya kufanikiwa....
mabadiliko ni lazima
tena wana saikolojia wanasema 'mabadiliko yanakuja so natural kiasi kwamba'
hata yeye mwenyewe anaweza asijue kuwa 'amebadilika'
nitakupa mfano mmoja
kuna mtu yeyote anaechelewa kwenda kwenye interview ya kazi
au kwenda kazini siku ya kwanza na wiki ya kwanza??
but ukishazoea ofisi.unajikuta tu unachelewa au unasema 'kulikuwa na foleni leo
na visingizio kibao.....lol
Owwkey!
Mbaya sana...especially ulimbukeni huo unapokua unaumiza watu wengine.
Boss acha weee....
Mabadiliko tunayanotice sana sema tatizo ni kuya-acknowledge.
Mfano kama huo uliotoa unadhani mtu hafanyi kwa makusudi???Anajua kabisa kwamba sasa hivi kazi nimeshaipata sina haja ya kuheshimu muda na kazi anymore. Ni kitu kinachofanyika kwa makusudi kabisa!
Want some frosty lemonade pie?
nafikiri umeelewa pointi hapa
pointi hapa ni kuwa bbaada ya kuajjiriwa
amekuwa na tabia zake halisi..za kutojali kuwahi kazini'
na sio kwamba amebadilika.....ni kwamba ile kuwahi haikuwa tabia yake halisi......
now is when i shld shoot u! mchokozi kama pilipili mbuzi! lione kwanza!