Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,695
- 58,770
We all know what power does to a person.....
I mean kuna watu wakipata madaraka..kazi...elimu...pesa zaidi ya walizokua nazo mwanzo wanaruhusu vitu hivyo vitawale hata utu wao na wanabadilika mpaka tabia.Unakuta mtu anaanza dharau/majigambo/manyanyaso kwa wengine/ukorofi na mengine yanayofanana na hayo.
Swali langu....Je umewahi kumsaidia mtu kutoka kwenye ngazi moja kwenda nyingine (kikazi...kielimu n.k) alafu baada ya hapo akabadilika kwa ubaya? Nasema kwa ubaya maana wengine wanaweza kubadilika kwa uzuri. Neway imeshatokea hizo/hiyo tabia yake mpya akailekeza hata kwako wewe uliyemsaidia ...mf kukudharau na kukuona wewe sio kitu???
Je baada ya kujua kwamba ndugu/rafiki yako huyo ni mlevi wa nguvu/madaraka/uwezo ungepewa nafasi ya kurudi nyuma mpaka pale ulipoamua kumsaidia je ungefanya maamuzi yale yale ya kumsaidia ama???
I mean kuna watu wakipata madaraka..kazi...elimu...pesa zaidi ya walizokua nazo mwanzo wanaruhusu vitu hivyo vitawale hata utu wao na wanabadilika mpaka tabia.Unakuta mtu anaanza dharau/majigambo/manyanyaso kwa wengine/ukorofi na mengine yanayofanana na hayo.
Swali langu....Je umewahi kumsaidia mtu kutoka kwenye ngazi moja kwenda nyingine (kikazi...kielimu n.k) alafu baada ya hapo akabadilika kwa ubaya? Nasema kwa ubaya maana wengine wanaweza kubadilika kwa uzuri. Neway imeshatokea hizo/hiyo tabia yake mpya akailekeza hata kwako wewe uliyemsaidia ...mf kukudharau na kukuona wewe sio kitu???
Je baada ya kujua kwamba ndugu/rafiki yako huyo ni mlevi wa nguvu/madaraka/uwezo ungepewa nafasi ya kurudi nyuma mpaka pale ulipoamua kumsaidia je ungefanya maamuzi yale yale ya kumsaidia ama???