KingOligarchy
Senior Member
- Sep 28, 2013
- 130
- 350
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania,
Nikiwa nimetua Tanzania kutoka urusi, kumalizia mambo yangu ya propaganda za kichumi za hapa na pale! nkakutana na maoligarchy wenzangu flani wa kibongo.
sasa mmoja akanitonya kwamba kuna mchongo flani anataka kunipe kitengo mahali nikisimamie sema ndo vile nahitaji kuwa na kijicheti flani hivi.
Mara ghafla nikacheki hiko cheti kinaitwa CFA 0 charterd Financial Analyst unatolewaCFA Institute! ebwana kuangalia juu juu nikachukulia pouwa.
lakini majibu ya mtihani ya level 1, mwaka huu yakanitoa kamasi yani kati ya watahiniwa 197,000 duniani nzima wamepita watu asilimia 22 tu, SIO POWA
Nikaangalia statistics yani Tanzania tuna full CFA holders WA 5 tu, nkachoka. Kucheki kenya nikaona kama 197 wapo ila kwa ujumla africa nzima wapo 2,000
MMMH, sawa so hawa wenye CFA wanakuwaga ma portfolio manager au investment banking au Investment officers huko! ukiangalia salary band ya kazi yao sana sana UN mfano uncdf
world bank chini ya IFC , African developmnet Bank ,MINIMUM SALARY YAO NI 120,000 $ PER ANNUM yani kama usd $12,000 kwa mwezi! tamu hyoooo
ANYWAY NISITOKE OFF TOPIC , kwahyo nikasema sawa ila nikaambiwa natakliwa kuwa na calculator, ila calculator zetu hizi utapata tabu ila ukinunua Texas instrument latest utatisha.
DUH, for the first time in my life sijawahi sikia calculator inaitwa hvyo! fasta nikainigia kwenye mtandao nikasearch Model niliyopewa Ti-84 Plus CE calculator.
Yani Texas iunstrument model ya 84 Plus, mzigo ukajimwaga wa amazon kama hivi.
Mambo ya Dollar hayo ! mzigo uko amazon, hesabu zangu zikaniambia huu mzigo niutafute kibongo bongo nione inakuaje nikaadd neno TANZANIA pale.
nikapata website flani hivi! sasa sijui ni dropshipper hawa anyways mzigo ukasoma kama hapo chini
TSH 377,328.00 , huu ni mshahara wa kima cha chini sio.?
isiwe kesi mwanaume nikachukua pesa zangu za kirusi (russian ruble) nilipiga mishe sana urusi za kusambaza voda! unajua maji ya kunywa ni expensive kuliko vodka urusi ahahahhahaha. back to the topic nikaenda kuumuuzia dogo moja hivi nililitafutia chuo Moscow mwaka 2011 nikamuuzia akanipa chap! kama m2 hv! kama 150, 000.00 nkaitumbua chap chap pale pale - nilienda sehemu moja inaitwa VVIP mikocheni pale Nkapata kisinia cha 60,000.00 na sheesha kama buku 30 na drinks za wana Fasta! Asubuhi nkamcheki mwanangu mmoja wa madili
akaenda kunitafutia BOOOOOOOOOOOOOM, mzigo umepatikana posta bhana! jamaa akaniambia bei ni 385,000 so nimtumie hela aniunulie! Kuwa oligarchy sio mchezo mchezo siamini watu mapema nkatoka nkapanda kwenye Chevrolet yangu Chap mpaka posta (usiogope hii chevy nilinunua kwenye mnada TRA kama milioni 48 tu, sio zile za kupasua watu vichwa kama camaro ni SUV moja tu) anyway back to the topic kucheki nikakuta bei ni 350,000.00 kumbe mwana kaongeza mbuku 35! njaa hizi hahahahhaha. sio kesi nkaichukua hyo calculator! TATIZO MATUMIZI
MZIGO WA KIBONGO ULIOZOELEKA HUO HAPO, kwanza hii calculator unacharge kama simu, mzigo upo colored! unaongelea kitu screen kubwa Hatari
Hii texas bhana inachora hadi mambo yetu ya x and y axis, mzigo una formula za mathematics! wakati wenzetu wako juu wanatumia macalculator kama haya
sisi tunahangaika kukariri periodic table. Sasa bhana kumbe mzigo unaweza ukaaunganisha kwenye computer, ukaupload had notsi! kama nawaona wazee wa kamati vyuo vya bongo
Anayways mzigo ni hatari na pesa yake ni ndefu , safi sana sasa angalia mizigo mingine uamini calculator ni expensive sio hizi kina casio
TOP MOST EXPENSIVE CALCULATORS
Picha ya MZigo niliovuta! nimesave maformula tu humo ndani! sisi watu wa finance na investment ndo mambo yetu! hapa nikifanya Advisory ya M&A yaani Merger and Acquisition au Nkawatafutia Deal Kampuni za Private Equity nakunja asilimia zangu 2% mambo swafiiiiiiiii...... hivi unajua makampuni ya PE yanapenda sana kuinvest bongo tatizo makampuni yaliyokuwepo hayaqualify yani wanataka mpunga kidogo (500,000$ - 1million $) , wakati wazee wa PE wanatoa minimum10m $ huko ili Oligarchy nikifanya advisory nikunje 2% tu! raha ya Finance & Investment here! anyway niache porojo mzigo ndo kama huo
Nikiwa nimetua Tanzania kutoka urusi, kumalizia mambo yangu ya propaganda za kichumi za hapa na pale! nkakutana na maoligarchy wenzangu flani wa kibongo.
sasa mmoja akanitonya kwamba kuna mchongo flani anataka kunipe kitengo mahali nikisimamie sema ndo vile nahitaji kuwa na kijicheti flani hivi.
Mara ghafla nikacheki hiko cheti kinaitwa CFA 0 charterd Financial Analyst unatolewaCFA Institute! ebwana kuangalia juu juu nikachukulia pouwa.
lakini majibu ya mtihani ya level 1, mwaka huu yakanitoa kamasi yani kati ya watahiniwa 197,000 duniani nzima wamepita watu asilimia 22 tu, SIO POWA
Nikaangalia statistics yani Tanzania tuna full CFA holders WA 5 tu, nkachoka. Kucheki kenya nikaona kama 197 wapo ila kwa ujumla africa nzima wapo 2,000
MMMH, sawa so hawa wenye CFA wanakuwaga ma portfolio manager au investment banking au Investment officers huko! ukiangalia salary band ya kazi yao sana sana UN mfano uncdf
world bank chini ya IFC , African developmnet Bank ,MINIMUM SALARY YAO NI 120,000 $ PER ANNUM yani kama usd $12,000 kwa mwezi! tamu hyoooo
ANYWAY NISITOKE OFF TOPIC , kwahyo nikasema sawa ila nikaambiwa natakliwa kuwa na calculator, ila calculator zetu hizi utapata tabu ila ukinunua Texas instrument latest utatisha.
DUH, for the first time in my life sijawahi sikia calculator inaitwa hvyo! fasta nikainigia kwenye mtandao nikasearch Model niliyopewa Ti-84 Plus CE calculator.
Yani Texas iunstrument model ya 84 Plus, mzigo ukajimwaga wa amazon kama hivi.
Mambo ya Dollar hayo ! mzigo uko amazon, hesabu zangu zikaniambia huu mzigo niutafute kibongo bongo nione inakuaje nikaadd neno TANZANIA pale.
nikapata website flani hivi! sasa sijui ni dropshipper hawa anyways mzigo ukasoma kama hapo chini
TSH 377,328.00 , huu ni mshahara wa kima cha chini sio.?
isiwe kesi mwanaume nikachukua pesa zangu za kirusi (russian ruble) nilipiga mishe sana urusi za kusambaza voda! unajua maji ya kunywa ni expensive kuliko vodka urusi ahahahhahaha. back to the topic nikaenda kuumuuzia dogo moja hivi nililitafutia chuo Moscow mwaka 2011 nikamuuzia akanipa chap! kama m2 hv! kama 150, 000.00 nkaitumbua chap chap pale pale - nilienda sehemu moja inaitwa VVIP mikocheni pale Nkapata kisinia cha 60,000.00 na sheesha kama buku 30 na drinks za wana Fasta! Asubuhi nkamcheki mwanangu mmoja wa madili
akaenda kunitafutia BOOOOOOOOOOOOOM, mzigo umepatikana posta bhana! jamaa akaniambia bei ni 385,000 so nimtumie hela aniunulie! Kuwa oligarchy sio mchezo mchezo siamini watu mapema nkatoka nkapanda kwenye Chevrolet yangu Chap mpaka posta (usiogope hii chevy nilinunua kwenye mnada TRA kama milioni 48 tu, sio zile za kupasua watu vichwa kama camaro ni SUV moja tu) anyway back to the topic kucheki nikakuta bei ni 350,000.00 kumbe mwana kaongeza mbuku 35! njaa hizi hahahahhaha. sio kesi nkaichukua hyo calculator! TATIZO MATUMIZI
MZIGO WA KIBONGO ULIOZOELEKA HUO HAPO, kwanza hii calculator unacharge kama simu, mzigo upo colored! unaongelea kitu screen kubwa Hatari
Hii texas bhana inachora hadi mambo yetu ya x and y axis, mzigo una formula za mathematics! wakati wenzetu wako juu wanatumia macalculator kama haya
sisi tunahangaika kukariri periodic table. Sasa bhana kumbe mzigo unaweza ukaaunganisha kwenye computer, ukaupload had notsi! kama nawaona wazee wa kamati vyuo vya bongo
Anayways mzigo ni hatari na pesa yake ni ndefu , safi sana sasa angalia mizigo mingine uamini calculator ni expensive sio hizi kina casio
TOP MOST EXPENSIVE CALCULATORS
Texas Instruments TI-92 Plus
Casio Fx-cg20 Limited Edition
Value: 249 USDTexas Instruments Voyage 200
Value: 279 USDVictor 1460-3
Value: 294 USDTexas Instruments TI-86
Value: 299 USDHP 19BII Financial Calculator
Value: 299 USDSUQIAOQIAO New 100% Calculator
Value: 919 USDTexas Instruments Math Etica Ti 83PLUS
Value: 1,500 USDGrillet portable Calculator
Value: 1,55,000 USDPicha ya MZigo niliovuta! nimesave maformula tu humo ndani! sisi watu wa finance na investment ndo mambo yetu! hapa nikifanya Advisory ya M&A yaani Merger and Acquisition au Nkawatafutia Deal Kampuni za Private Equity nakunja asilimia zangu 2% mambo swafiiiiiiiii...... hivi unajua makampuni ya PE yanapenda sana kuinvest bongo tatizo makampuni yaliyokuwepo hayaqualify yani wanataka mpunga kidogo (500,000$ - 1million $) , wakati wazee wa PE wanatoa minimum10m $ huko ili Oligarchy nikifanya advisory nikunje 2% tu! raha ya Finance & Investment here! anyway niache porojo mzigo ndo kama huo