He he heIphone unaziogopa....watu tunazifungua tu
Sasa ww badala utuonyeshe namna ya kuondoa unataka nikutafute nitakutafuta vp na wakati huo tayri nimeshasahauKutana na mimi hapa nikusaidie namna ya kufungua simu yako bila kuiflash kam umesahau pin, password, au patten. Napatikana kwa namba 0756525889. Karibuni, huduma ni bei nafuu.
Kumbuka: ni smartphone aina zote isipokuwa tu iPhone.
nikutafute unifungulia iphone mkuu?Iphone unaziogopa....watu tunazifungua tu
Iphone version ipi? 5,6,7?
iphone mwisho wa maneno, kuna jamaa alitoka nayo Marekani kaniuzia, sijui aliiba huko, huwezi kufanya application yeyote zaidi ya internet tu, noma! Nimepeleka kwa wataalamu wote wa IT wamesarenda.Iphone unaziogopa....watu tunazifungua tu