Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

Joined
Sep 10, 2013
Posts
76
Reaction score
21
Mwanzoni mwa mwezi wa 8 jeshi la polisi lilitangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa elimu ya juu kwa mwaka 2013/14.

Maelekezo yalikuwa wazi kabisa ni watu wa aina gani na wenye proffesionals gan walikiwa wakihitajika! Kwa mujibu wa registra wa mafunzo wa vyuo vya polisi, 90% of applicants hawakukidhi mahitaji!

Jeshi lilihitaji watu wenye taaluma za Menejimenti ya Rasilimali Watu, Utawala katika Utumishi wa Umma, Uchumi, Saikolojia na Ushauri Nasihi, Usimamizi wa Sheria na Utekelezaji[BaLE], Sheria, Ualimu, Maendeleo ya Jamii, Uandishi wa Habari, Uandishi wa Habari za Michezo, Mawasiliano ya Umma, TV & Redio Production, Michezo, Ugavi[BA in Procurement & Supplies], Mawasiliano ya Redio[Bsc in Radio Communication], Mazingira[BA in Environmental Disaster Mgt], Uhandisi Mitambo, Uhandisi Madini[Mining Engineering], Uchoraji[BA in Fine Arts], Fedha na Benki[Finance & Banking], Daktari[Medical Doctor] na Daktari wa Meno[Dental Surgeon], Mkemia, Bailojia[Molecular Biology]. Kwa ngazi ya degree na Utunzaji Kumbukumbu, Katibu Muhutasi[Personal Secretaries], Mawasiliano ya Redio, Matengenezo ya Kompyuta, Fax na Photocopy Machines, Mafundi Mitambo wa Meli, Mafundi Umeme wa Magari, Ugavi[Procurement & Supplies], TV na Video Production, Manahodha, Tabibu[Clinical Officer], Tabibu wa Meno[Dental Therapist], Mzoeza Viungo[Psysiotherapist/Occupational Therapist], Fundi Sanifu Mionzi[Radiographer] na Fundi Sanifu Macho[Optometrist]. Kwa ngazi ya diploma, lakini cha kushangaza 90% ya waombaji sio qualified. Wengi wao:

(i) sio proffesionals kwa fani tajwa. Yani fani zao hazikutajwa kwenye tangazo

(ii) sio wahitimu kwa mwaka wa masomo 2013/14. Yani fani zao zilitajwa lakini wao ni wahitimu wa miaka ya nyuma

(iii) hawajakidhi kigezo cha umeri, jeshi lilitaka watu wenye umri kati ya miaka 18-25. Cha ajabu wengi wamefoji vyeti vya kuzaliwa bila kujua kuwa hata secondary school leaving certificates zina tarehe za kuzaliwa ivyo kujikuta tarehe iliyopo kwenye cheti cha kuzaliwa na leaving certficate hazifanani!

(iv) hawajatuma nyaraka zote zilizokuwa zikihitajika yani cheti cha kuzaliwa, vyet vya kumaliza sekondary na vyeti vya matokeo, provisonal reaults za chuo.

Swali la muhimu la kujiuliza wewe uliyeomba, je unakidhi vigezo?
 
Mwanzoni mwa mwezi wa 8 jeshi la polisi lilitangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa elimu ya juu kwa mwaka 2013/14. Maelekezo yalikuwa wazi kabisa ni watu wa aina gani na wenye proffesionals gan walikiwa wakihitajika! Kwa mujibu wa registra wa mafunzo wa vyuo vya polisi, 90% of applicants hawakukidhi mahitaji! Jeshi lilihitaji watu wenye taaluma za Menejimenti ya Rasilimali Watu, Utawala katika Utumishi wa Umma, Uchumi, Saikolojia na Ushauri Nasihi, Usimamizi wa Sheria na Utekelezaji[BaLE], Sheria, Ualimu, Maendeleo ya Jamii, Uandishi wa Habari, Uandishi wa Habari za Michezo, Mawasiliano ya Umma, TV & Redio Production, Michezo, Ugavi[BA in Procurement & Supplies], Mawasiliano ya Redio[Bsc in Radio Communication], Mazingira[BA in Environmental Disaster Mgt], Uhandisi Mitambo, Uhandisi Madini[Mining Engineering], Uchoraji[BA in Fine Arts], Fedha na Benki[Finance & Banking], Daktari[Medical Doctor] na Daktari wa Meno[Dental Surgeon], Mkemia, Bailojia[Molecular Biology]. Kwa ngazi ya degree na Utunzaji Kumbukumbu, Katibu Muhutasi[Personal Secretaries], Mawasiliano ya Redio, Matengenezo ya Kompyuta, Fax na Photocopy Machines, Mafundi Mitambo wa Meli, Mafundi Umeme wa Magari, Ugavi[Procurement & Supplies], TV na Video Production, Manahodha, Tabibu[Clinical Officer], Tabibu wa Meno[Dental Therapist], Mzoeza Viungo[Psysiotherapist/Occupational Therapist], Fundi Sanifu Mionzi[Radiographer] na Fundi Sanifu Macho[Optometrist]. Kwa ngazi ya diploma, lakini cha kushangaza 90% ya waombaji sio qualified. Wengi wao:
(i) sio proffesionals kwa fani tajwa. Yani fani zao hazikutajwa kwenye tangazo
(ii) sio wahitimu kwa mwaka wa masomo 2013/14. Yani fani zao zilitajwa lakini wao ni wahitimu wa miaka ya nyuma
(iii) hawajakidhi kigezo cha umeri, jeshi lilitaka watu wenye umri kati ya miaka 18-25. Cha ajabu wengi wamefoji vyeti vya kuzaliwa bila kujua kuwa hata secondary school leaving certificates zina tarehe za kuzaliwa ivyo kujikuta tarehe iliyopo kwenye cheti cha kuzaliwa na leaving certficate hazifanani!
(iv) hawajatuma nyaraka zote zilizokuwa zikihitajika yani cheti cha kuzaliwa, vyet vya kumaliza sekondary na vyeti vya matokeo, provisonal reaults za chuo.
Swali la muhimu la kujiuliza wewe uliyeomba, je unakidhi vigezo?

Wizara kwa hilo limechukua hatua gan??? Nahisi unaweza jibu hilo kama uliweza kupata taarifa hizo za ndani
 
Wizara kwa hilo limechukua hatua gan??? Nahisi unaweza jibu hilo kama uliweza kupata taarifa hizo za ndani
Selection process is still on progress! As they said, only 90% are'nt qualified, that means they will definetly pick the qualified ones! What the Registr was complaining is why people doesn't follow the instructions! They make the exercise more difficult for no reasoon!
 
Vigezo wengi wangekidhi tatizo sisi wazee walitukataa
 
vigezo vingne si vya msingi,mfano umri,kuoa au kutoolewa,na mwaka wa kumaliza masomo.Darasa la kwanza nimeanza na miaka 7 nikamaliza na miaka 14,o level nmemaliza nina miaka 18,advance nimemaliza 20,nikakaa home mwaka mmoja,nikasoma diploma ya pharmacy miaka mitatu(mpaka hapo nina 25)nikafanya kibarua mwaka 1 na kuoa kabisa,then nikasoma MD kwa miaka 5 hapo niko na 30 miaka.

Natunzamwili wangu nafanya mazoezi so depo haitanisumbua.Je nikiomba polisi utaniambia sina vigezo?
 
vigezo vingne si vya msingi,mfano umri,kuoa au kutoolewa,na mwaka wa kumaliza masomo.Darasa la kwanza nimeanza na miaka 7 nikamaliza na miaka 14,o level nmemaliza nina miaka 18,advance nimemaliza 20,nikakaa home mwaka mmoja,nikasoma diploma ya pharmacy miaka mitatu(mpaka hapo nina 25)nikafanya kibarua mwaka 1 na kuoa kabisa,then nikasoma MD kwa miaka 5 hapo niko na 30 miaka.

Now that's da problem! Kama ingekuwa tunahitaji mtu wa miaka 30 Tungesema but we are'nt in need of person with that age! We have our reasons why we dont! Dont force to fit where you know u cant fit! Being a soldier or policeman doesnt require physical fitnes only, its a matter of psychology! Go to psychologists and ask them, is there any difference on learning btn a person of 30 yrs and tht of 25 yrs? Or z there any difference btn a married & a single person?
 
Sasa cjui madokta wanaowahitaji ni wapi Hao wenye 25 yr, labda sio tz.. Otherwise they have to put up to at least 28,
 
Mi naomba kuuliza ni siku gani ya interview coz Kuna SMS ilitumwa ambayo nadhani ilikuwa ya polisi kama sikosei ila bahati mbaya mtu aliyekuwa na simu wakati huo akafuta bila kujua kama Kuna mtu anajua naomba aniambie asanteni sana.
 
Kigezo cha umri inabidi mkiangalie wakati huu wa selection,km mtu amekidhi vigezo vyote hivyo then kapungukiwa na kigezo kimoja tu inabidi mumfikirie..angalau 18-29 angalau hiyo 90 % ipungue...
 
Jaman naomba tujuzaje cku ya interview...................maana hii t mmmmmmmmmmmmmmmmh!
 
Jaman wadau nawaombeni mnijuze juu ya zile nafasi a volunteers zilizokuwa zmetangazwa na GIO June 2014 na mwesho wa kutuma maombi ilikuwa ni 31july...........na training yao ilikuw ianze leo tareh 6 /09/2014, maana naona kimya kingi kutoka waliponitumia e mail yao ya kunitaarfu kuw nimefanikiwa kuchaguliwa na kuwa miongoni mwa short listed candidates. Na wakasema nitume kiasi cha Tsh 50000 kwa mpesa , nikatuma na baada ya hapo wakaniahid kunitumia email ya ratiba ya training ambayo ilitakiwa ianzae leo. cha kushangaza sijapata hyo email yao na hata namba yao yacmu haipatikan naombeni mnipe jibu waungwana maana kitaan pagumu jaman..................
 
Mwanzoni mwa mwezi wa 8 jeshi la polisi lilitangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa elimu ya juu kwa mwaka 2013/14.

Maelekezo yalikuwa wazi kabisa ni watu wa aina gani na wenye proffesionals gan walikiwa wakihitajika! Kwa mujibu wa registra wa mafunzo wa vyuo vya polisi, 90% of applicants hawakukidhi mahitaji!

Jeshi lilihitaji watu wenye taaluma za Menejimenti ya Rasilimali Watu, Utawala katika Utumishi wa Umma, Uchumi, Saikolojia na Ushauri Nasihi, Usimamizi wa Sheria na Utekelezaji[BaLE], Sheria, Ualimu, Maendeleo ya Jamii, Uandishi wa Habari, Uandishi wa Habari za Michezo, Mawasiliano ya Umma, TV & Redio Production, Michezo, Ugavi[BA in Procurement & Supplies], Mawasiliano ya Redio[Bsc in Radio Communication], Mazingira[BA in Environmental Disaster Mgt], Uhandisi Mitambo, Uhandisi Madini[Mining Engineering], Uchoraji[BA in Fine Arts], Fedha na Benki[Finance & Banking], Daktari[Medical Doctor] na Daktari wa Meno[Dental Surgeon], Mkemia, Bailojia[Molecular Biology]. Kwa ngazi ya degree na Utunzaji Kumbukumbu, Katibu Muhutasi[Personal Secretaries], Mawasiliano ya Redio, Matengenezo ya Kompyuta, Fax na Photocopy Machines, Mafundi Mitambo wa Meli, Mafundi Umeme wa Magari, Ugavi[Procurement & Supplies], TV na Video Production, Manahodha, Tabibu[Clinical Officer], Tabibu wa Meno[Dental Therapist], Mzoeza Viungo[Psysiotherapist/Occupational Therapist], Fundi Sanifu Mionzi[Radiographer] na Fundi Sanifu Macho[Optometrist]. Kwa ngazi ya diploma, lakini cha kushangaza 90% ya waombaji sio qualified. Wengi wao:

(i) sio proffesionals kwa fani tajwa. Yani fani zao hazikutajwa kwenye tangazo

(ii) sio wahitimu kwa mwaka wa masomo 2013/14. Yani fani zao zilitajwa lakini wao ni wahitimu wa miaka ya nyuma

(iii) hawajakidhi kigezo cha umeri, jeshi lilitaka watu wenye umri kati ya miaka 18-25. Cha ajabu wengi wamefoji vyeti vya kuzaliwa bila kujua kuwa hata secondary school leaving certificates zina tarehe za kuzaliwa ivyo kujikuta tarehe iliyopo kwenye cheti cha kuzaliwa na leaving certficate hazifanani!

(iv) hawajatuma nyaraka zote zilizokuwa zikihitajika yani cheti cha kuzaliwa, vyet vya kumaliza sekondary na vyeti vya matokeo, provisonal reaults za chuo.

Swali la muhimu la kujiuliza wewe uliyeomba, je unakidhi vigezo?

Kwani wewe ndo msemaji wa Jeshi la Polisi.?
 
vigezo vingne si vya msingi,mfano umri,kuoa au kutoolewa,na mwaka wa kumaliza masomo.Darasa la kwanza nimeanza na miaka 7 nikamaliza na miaka 14,o level nmemaliza nina miaka 18,advance nimemaliza 20,nikakaa home mwaka mmoja,nikasoma diploma ya pharmacy miaka mitatu(mpaka hapo nina 25)nikafanya kibarua mwaka 1 na kuoa kabisa,then nikasoma MD kwa miaka 5 hapo niko na 30 miaka.

Now that's da problem! Kama ingekuwa tunahitaji mtu wa miaka 30 Tungesema but we are'nt in need of person with that age! We have our reasons why we dont! Dont force to fit where you knowu cant fit! Being a soldier or policeman doesnt require physical fitnes only, its a matter of psychology! Go to psychologists and ask them, is there any difference on learning btn a person of 30 yrs and tht of 25 yrs? Or z there any difference btn a married & a single person?

Wazeee kma nyie taften kaz nyingne bhna utakaaje mtaaani bila sababu? Achien mayosso walio under 26 wafaid
 
Mwanzoni mwa mwezi wa 8 jeshi la polisi lilitangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa elimu ya juu kwa mwaka 2013/14.

Maelekezo yalikuwa wazi kabisa ni watu wa aina gani na wenye proffesionals gan walikiwa wakihitajika! Kwa mujibu wa registra wa mafunzo wa vyuo vya polisi, 90% of applicants hawakukidhi mahitaji!

Jeshi lilihitaji watu wenye taaluma za Menejimenti ya Rasilimali Watu, Utawala katika Utumishi wa Umma, Uchumi, Saikolojia na Ushauri Nasihi, Usimamizi wa Sheria na Utekelezaji[BaLE], Sheria, Ualimu, Maendeleo ya Jamii, Uandishi wa Habari, Uandishi wa Habari za Michezo, Mawasiliano ya Umma, TV & Redio Production, Michezo, Ugavi[BA in Procurement & Supplies], Mawasiliano ya Redio[Bsc in Radio Communication], Mazingira[BA in Environmental Disaster Mgt], Uhandisi Mitambo, Uhandisi Madini[Mining Engineering], Uchoraji[BA in Fine Arts], Fedha na Benki[Finance & Banking], Daktari[Medical Doctor] na Daktari wa Meno[Dental Surgeon], Mkemia, Bailojia[Molecular Biology]. Kwa ngazi ya degree na Utunzaji Kumbukumbu, Katibu Muhutasi[Personal Secretaries], Mawasiliano ya Redio, Matengenezo ya Kompyuta, Fax na Photocopy Machines, Mafundi Mitambo wa Meli, Mafundi Umeme wa Magari, Ugavi[Procurement & Supplies], TV na Video Production, Manahodha, Tabibu[Clinical Officer], Tabibu wa Meno[Dental Therapist], Mzoeza Viungo[Psysiotherapist/Occupational Therapist], Fundi Sanifu Mionzi[Radiographer] na Fundi Sanifu Macho[Optometrist]. Kwa ngazi ya diploma, lakini cha kushangaza 90% ya waombaji sio qualified. Wengi wao:

(i) sio proffesionals kwa fani tajwa. Yani fani zao hazikutajwa kwenye tangazo

(ii) sio wahitimu kwa mwaka wa masomo 2013/14. Yani fani zao zilitajwa lakini wao ni wahitimu wa miaka ya nyuma

(iii) hawajakidhi kigezo cha umeri, jeshi lilitaka watu wenye umri kati ya miaka 18-25. Cha ajabu wengi wamefoji vyeti vya kuzaliwa bila kujua kuwa hata secondary school leaving certificates zina tarehe za kuzaliwa ivyo kujikuta tarehe iliyopo kwenye cheti cha kuzaliwa na leaving certficate hazifanani!

(iv) hawajatuma nyaraka zote zilizokuwa zikihitajika yani cheti cha kuzaliwa, vyet vya kumaliza sekondary na vyeti vya matokeo, provisonal reaults za chuo.

Swali la muhimu la kujiuliza wewe uliyeomba, je unakidhi vigezo?

short listed mnatoa line na interview lini!??? Tuanzie hapo kwanza mkuu!
 
Jaman wadau nawaombeni mnijuze juu ya zile nafasi a volunteers zilizokuwa zmetangazwa na GIO June 2014 na mwesho wa kutuma maombi ilikuwa ni 31july...........na training yao ilikuw ianze leo tareh 6 /09/2014, maana naona kimya kingi kutoka waliponitumia e mail yao ya kunitaarfu kuw nimefanikiwa kuchaguliwa na kuwa miongoni mwa short listed candidates. Na wakasema nitume kiasi cha Tsh 50000 kwa mpesa , nikatuma na baada ya hapo wakaniahid kunitumia email ya ratiba ya training ambayo ilitakiwa ianzae leo. cha kushangaza sijapata hyo email yao na hata namba yao yacmu haipatikan naombeni mnipe jibu waungwana maana kitaan pagumu jaman..................

Pole sana!! Ndio Dunia ilivyo.
 
Back
Top Bottom