Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 854
- 1,257
- Thread starter
- #61
Hahahahaha sawa mkuuStaki
Hahahahaha sawa mkuuStaki
Sawa bwana wakiliSheria mwaka wa 2,narudi kitaa naitwa Wakili.... mdada wa watu kwanini asijae awe na boyfriend WakiliAlhamdulilah mpaka Leo nipo na Mzanzibar wangu tunadumisha muungano
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unataka kuleta league ndogo za utoto kushindanisha vyuo.....🤣🤣Hahahahaha sawa mkuu
Kikubwa ulicheza kama Pele mkuuWewe unataka kuleta league ndogo za utoto kushindanisha vyuo.....
Nimecheka hadi nimeugua kikohozijanamke fulani hivi shankupe lililoshindikana! nikaona hili bili itifaki za mzee faki silipati! halahala kama kikaangio cha chapati..
nilivyomshenzi wa tabia baada yakupata namba yake nikaanza kujisifu kuwa mimi ni fundi chupi!, mwanaume hasidi niliefundwa kwenye unyago wakinyamwezi! sio tu kwamba ni mbobezi wakukobea bali pia ni fundi wakuchelewesha!..
kama ni mpira basi mimi ni namba ile chafu ambayo ushindi lazima upatikane kwangu!,nikajitapa kuwa mimi ndie msubiriaji nisiekojoa kabla hajakojoa!..
si akadata siku yatukio ilikuwa ni tako tatu wazungu chwaa!.. shangingi hana shipa la siri siitwi tena fundi wakuchelewesha bali fundi chwaa!
Wanawake ni funga kazi anakudanganya na hapepesi macho hadi unajaaUkitaka kujua wanaume ni waongo kuliko wanawake ni kwenye huu uzi
Humo humooooo!!!!Kikubwa ulicheza kama Pele mkuu
Hatari sana mkuuWanawake ni funga kazi anakudanganya na hapepesi macho hadi unajaa
Ndoivo mkuuHumo humooooo!!!!
Pole sana mkuuNimecheka hadi nimeugua kikohozi
😂😂😂janamke fulani hivi shankupe lililoshindikana! nikaona hili bili itifaki za mzee faki silipati! halahala kama kikaangio cha chapati..
nilivyomshenzi wa tabia baada yakupata namba yake nikaanza kujisifu kuwa mimi ni fundi chupi!, mwanaume hasidi niliefundwa kwenye unyago wakinyamwezi! sio tu kwamba ni mbobezi wakukobea bali pia ni fundi wakuchelewesha!..
kama ni mpira basi mimi ni namba ile chafu ambayo ushindi lazima upatikane kwangu!,nikajitapa kuwa mimi ndie msubiriaji nisiekojoa kabla hajakojoa!..
si akadata siku yatukio ilikuwa ni tako tatu wazungu chwaa!.. shangingi hana shipa la siri siitwi tena fundi wakuchelewesha bali fundi chwaa!
Watu ni hatari mkuu sound hizo
Za kihindi pale lake schools mwanza mpk nilichoka kisa viakili vya masomo ya biashara. Na nilivyoondoka nchini mpk leo wanajua nina maisha kumbe nateseka mbaya na elimu hii isokuwa na connection.mkuu nina madem hadi wa kiarabu wanasumbuka na marejesho ya kila siku
ukijichanganya tu unafilisika, unakufa na ngoma, unakamatwa ugoni yani fujo ni nyingi
Dah pole sana mkuu ila pambanaZa kihindi pale lake schools mwanza mpk nilichoka kisa viakili vya masomo ya biashara. Na nilivyoondoka nchini mpk leo wanajua nina maisha kumbe nateseka mbaya na elimu hii isokuwa na connection.