Je, ulitumia uongo gani kumpata demu?

Je, ulitumia uongo gani kumpata demu?

Njemba nilisema mimi senior na miaka sate samthing hivi ili nimpate byurifoo ambae alisema hadate na watoto wadogo

Kufika kwenye mkutano wa kwanza kumbe tulikutana wote mawinga wa kariakoo nayeye kanichapa kamba 28 kumbe simba jike anakimbiza 35 au 37 hivi

Nikataka nicash out mkeka nashangaa mama ndo ameshaelewa mazima na mimi ndo nataka kutoroka


Alooo hakuna kitu kigumu kama kumtoroka mtu mzima
Ilikuwaje man?
 
Njemba nilisema mimi senior na miaka sate samthing hivi ili nimpate byurifoo ambae alisema hadate na watoto wadogo

Kufika kwenye mkutano wa kwanza kumbe tulikutana wote mawinga wa kariakoo nayeye kanichapa kamba 28 kumbe simba jike anakimbiza 35 au 37 hivi

Nikataka nicash out mkeka nashangaa mama ndo ameshaelewa mazima na mimi ndo nataka kutoroka


Alooo hakuna kitu kigumu kama kumtoroka mtu mzima 😁😁😁
Hapa ulitisha mzee baba
 
Ilikuwaje man?
Ah mzee
Kwanza nikataka nilete zile za sina hela leo acha hii meeting iwe ya kujuana tu

Nikashangaa baba usiwe na wasiwasi

maana before tulitajiana location tunazokaa akaniambia anarequest mi nnavyozidi kumuangalia ndo jinsi nafsi inakataa😁😁😁

Nikamwambia acha nirequest mimi nikazuga kidogo nikasema au subiri niite taxi nilivokula ile acute angle 😂
Sikugeuka kama naondoka mji wa waovu😁😁😁🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️
 
Ahahahaha mke wangu Mama Joan nakumbuka nilitoka dar chuo DIT nikaenda mkoani kwetu kwa ajili ya mafunzo kwa njia ya vitendo wengine wanaita field basi na nikafika kijijini kwetu nikaambiwa kuna mwalimu wa field shule yetu ya kata anasumbua sana wana washapambana ila haeleweki, hiyo kazi ikabidi nipewe mimi basi mjuba nikaingia pale nikampiga swaga ooh naitwa flani chuo kikuu cha Dar niko mwaka wa pili civil engineering degree kumbe ni ordinary diploma 🤣🤣🤣😂yeye alikuwa mwaka wa kwanza education ....plus na ubrazamen mtoto akajaa mazima mpaka wa leo.....
 
Njemba nilisema mimi senior na miaka sate samthing hivi ili nimpate byurifoo ambae alisema hadate na watoto wadogo

Kufika kwenye mkutano wa kwanza kumbe tulikutana wote mawinga wa kariakoo nayeye kanichapa kamba 28 kumbe simba jike anakimbiza 35 au 37 hivi

Nikataka nicash out mkeka nashangaa mama ndo ameshaelewa mazima na mimi ndo nataka kutoroka


Alooo hakuna kitu kigumu kama kumtoroka mtu mzima
Hahahahahaha we noma
 
Ahahahaha mke wangu Mama Joan nakumbuka nilitoka dar chuo DIT nikaenda mkoani kwetu kwa ajili ya mafunzo kwa njia ya vitendo wengine wanaita field basi na nikafika kijijini kwetu nikaambiwa kuna mwalimu wa field shule yetu ya kata anasumbua sana wana washapambana ila haeleweki, hiyo kazi ikabidi nipewe mimi basi mjuba nikaingia pale nikampiga swaga ooh naitwa flani chuo kikuu cha Dar niko mwaka wa pili civil engineering degree kumbe ni ordinary diploma yeye alikuwa mwaka wa kwanza education ....plus na ubrazamen mtoto akajaa mazima mpaka wa leo.....
Ishukuru sana udsm mkuu
 
Njemba nilisema mimi senior na miaka sate samthing hivi ili nimpate byurifoo ambae alisema hadate na watoto wadogo

Kufika kwenye mkutano wa kwanza kumbe tulikutana wote mawinga wa kariakoo nayeye kanichapa kamba 28 kumbe simba jike anakimbiza 35 au 37 hivi

Nikataka nicash out mkeka nashangaa mama ndo ameshaelewa mazima na mimi ndo nataka kutoroka


Alooo hakuna kitu kigumu kama kumtoroka mtu mzima
Dah kwahiyo mlikutana ngangari wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom