Je, ulitumia uongo gani kumpata demu?

Je, ulitumia uongo gani kumpata demu?

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
2,159
Reaction score
3,421
Ukitaka salam nenda Baraza la kata kalalamike waje wanikamate.

Kuhusu muandiko m sio mwalimu bhana.

Huu uzi ni kwaajili ya kuelezana uongo ulioutumia kumpata demu.

Mi naanza nilimdanganya kua mimi ni mnunuzi wa madini, akajaa akajua anakuja kuchota hela kumbe wapi sina kila kitu.

Baadae amekuja kuujua ukweli akabaki kucheka tu, ila tuliachana kila mtu akatafta njia yake.

Karibuni sana.
 
nilimuuliza jana tu kama ana sms akajibu ndio.

nikamuomba nimtumie mtu sms ili anipigie mimi sina kila kitu

akanipa simu vizuri, nikaandika sms nikajitumia😂😂😂

safari ikaanza jana saa tisa mchana kulaleki...

wengine wanajileta wenyewe marejesho yanawaua
Screenshot_20240209-222350.jpg
 
Nafanya kazi TCRA na kweri akawa ananiona natokea kweny lile jengo kumbe natumwa tu documents akajaa nikaweka ila nilikamia sana mechi mtot akaelewa show alikuja kuambiw ukwer na rafik yake ila asikii ambiwi na akipelekewa umbea anakuj kuniambia
 
janamke fulani hivi shankupe lililoshindikana! nikaona hili bili itifaki za mzee faki silipati! halahala kama kikaangio cha chapati..

nilivyomshenzi wa tabia baada yakupata namba yake nikaanza kujisifu kuwa mimi ni fundi chupi!, mwanaume hasidi niliefundwa kwenye unyago wakinyamwezi! sio tu kwamba ni mbobezi wakukobea bali pia ni fundi wakuchelewesha!..
kama ni mpira basi mimi ni namba ile chafu ambayo ushindi lazima upatikane kwangu!,nikajitapa kuwa mimi ndie msubiriaji nisiekojoa kabla hajakojoa!..
si akadata siku yatukio ilikuwa ni tako tatu wazungu chwaa!.. shangingi hana shipa la siri siitwi tena fundi wakuchelewesha bali fundi chwaa!
 
janamke fulani hivi shankupe lililoshindikana! nikaona hili bili itifaki za mzee faki silipati! halahala kama kikaangio cha chapati..

nilivyomshenzi wa tabia baada yakupata namba yake nikaanza kujisifu kuwa mimi ni fundi chupi!, mwanaume hasidi niliefundwa kwenye unyago wakinyamwezi! sio tu kwamba ni mbobezi wakukobea bali pia ni fundi wakuchelewesha!..
kama ni mpira basi mimi ni namba ile chafu ambayo ushindi lazima upatikane kwangu!,nikajitapa kuwa mimi ndie msubiriaji nisiekojoa kabla hajakojoa!..
si akadata siku yatukio ilikuwa ni tako tatu wazungu chwaa!.. shangingi hana shipa la siri siitwi tena fundi wakuchelewesha bali fundi chwaa!
Hahahaa da we kiboko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom