Je, ulishawahi penda hivi?

Je, ulishawahi penda hivi?

Je, tangu uanze mapenzi ulishawahi kuwa na mtu ambaye ulimpenda kwa moyo wako wote hadi ukawa kipofu kwa yote mabaya uliyoyaona kwake, ukawa kiziwi kwa yote mabaya uliyoyasikia kwake lakini mwishowe huyo mtu akaja akakuacha. Je, ulikuwa katika hali gani ulipoachwa, na je ilikuchukua muda gani kumsahau huyo mtu?View attachment 1167135
Binafsi bado. Ila Mimi Mwanamke Nampa chaguo la mwisho kabisa katika maisha yangu.
 
Dini imetutenganisha na sijapona bado ila inshallah atakuja aliye wakwangu.
 
Mm kuna demu mpaka Leo nampenda ingawa tuliachana katika mazingira ambayo hali yangu ya kiuchumi iliyumba halafu alikuwa demu muelewa Ila alikuwa na tamaa ya pesa kwa upande mwingine so kama kucheat alikuwa anacheat mpaka kuna kipindi nilijua coz tulitengana kwa muda but hata mm mwenyewe nilikuwa na mcheat coz mnaweza mkakaa hata mwaka msionane. But all in all ni demu ambaye nilikuwa nampenda na alikuwa ananipa raha kweli kwenye 6 × 6 so ni MTU ambaye ni unforgetable katika mind yangu labda aje atokee kama yeye tena.
 
Mm kuna demu mpaka Leo nampenda ingawa tuliachana katika mazingira ambayo hali yangu ya kiuchumi iliyumba halafu alikuwa demu muelewa Ila alikuwa na tamaa ya pesa kwa upande mwingine so kama kucheat alikuwa anacheat mpaka kuna kipindi nilijua coz tulitengana kwa muda but hata mm mwenyewe nilikuwa na mcheat coz mnaweza mkakaa hata mwaka msionane. But all in all ni demu ambaye nilikuwa nampenda na alikuwa ananipa raha kweli kwenye 6 × 6 so ni MTU ambaye ni unforgetable katika mind yangu labda aje atokee kama yeye tena.
Mtafutee myamalize
 
Nimetumia almost mwaka ila bado naumia
pole mkuu,,mm nishamsahagi kitambo japo yy ndo ananisumbua,,ila kinachoniumizaga na kujiona fala ni gharama zangu nilizoteketeza kipindi niko nae,,,eti saivi kumamake anakuja kusema fadhila zangu ndo zinamfanya anikumbuke daima,,,,kumamake afulie huko ndio akumbuke fadhila zangu leo???.....akafie mbele huko,,,mm bado nina machungu ya mpunga wangu
 
Ma handsome na wenye elimu na mkwanja ndo tunajua adha ya kupenda kupitiliza sababu ya mwonekano wetu tuna rogwa sana. km Mengi

Maskini hawezi elewa kitu hapa ataona ni upuuzi kupenda. ukipenda ujue umependwa
 
Imewahi nitokea na bado na hangaika kumsahau na inashindikana kuachana na yule kiumbe....
 
Back
Top Bottom