Bado mkuu sijafikiaga ujinga kama huo labda uko mbeleni.Je, tangu uanze mapenzi ulishawahi kuwa na mtu ambaye ulimpenda kwa moyo wako wote hadi ukawa kipofu kwa yote mabaya uliyoyaona kwake, ukawa kiziwi kwa yote mabaya uliyoyasikia kwake lakini mwishowe huyo mtu akaja akakuacha. Je, ulikuwa katika hali gani ulipoachwa, na je ilikuchukua muda gani kumsahau huyo mtu?View attachment 1167135
moyo mdogo kuhimili vitu angalia usije pasua moyo.Nimetumia almost mwaka ila bado naumia
Je, tangu uanze mapenzi ulishawahi kuwa na mtu ambaye ulimpenda kwa moyo wako wote hadi ukawa kipofu kwa yote mabaya uliyoyaona kwake, ukawa kiziwi kwa yote mabaya uliyoyasikia kwake lakini mwishowe huyo mtu akaja akakuacha. Je, ulikuwa katika hali gani ulipoachwa, na je ilikuchukua muda gani kumsahau huyo mtu?View attachment 1167135
Hahhhahhhahhaa [emoji23][emoji23][emoji23]..watu mnajua kutuchekesha..dahSasa mbona umeweka picha ya kiroba?