Nilihi kupaka upupu kwenye dawati la mwalimu Karuta pale Buzuruga Shule ya msingi, nyakato mwanza......
Nakumbuka yule mwalimu alikua mkali kupita kiasi, kisha alikua akiingia class lazima akinje mikono ya shati lake, kisha anakaa kwenye dawati la mwalini na kuegesha mikono yake pali juu ya meza ya dawati.
Skuhiyo nilipo paka upupu pale..... Mwalimu aliwashwa vibaya mno, kilicho tokea baada ya kubainika ni siri yangu......
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]