Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,611
Mi najilaumu sana aisee. Nilianza mwenyewe nikiwa secondary nilichuma bangi sehem fulani ikiwa imejiotea yenyewe nikaenda kuikausha halafu next day nikaiweka kwenye karatasi nikafanya mambo. Nilisikia njaa kinoma siku hiyo.
Mpaka na leo bado natumia hichi kitu na sijui kama ntaacha maana naona stress za maisha bado mingi na bangi is my loyal best friend. Kwanini niache?
Mpaka na leo bado natumia hichi kitu na sijui kama ntaacha maana naona stress za maisha bado mingi na bangi is my loyal best friend. Kwanini niache?