Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,680
- 8,572
hahahahah nadhan ameshaachaNiliwahi kuletewa mochwari na wavuta bangi mlevi aliyezima kwa viroba wakisema eti ni maiti wameiokota
Nisingekuwa mweledi ningemtia kwenye jokofu lakini nikasema ngoja nimfundishe kuacha pombe, nikamuweka chini sakafuni penye baridi sana na maiti ambazo bado nilikuwa sijaziingiza kwenye jokofu
baada ya kama nusu saa akazinduka...
Kuangalia kazungukwa na mizoga kuangalia mbele nipo mimi na koti jeupe akajijua tayari....nikimuona ananyanyua mdomo apige kelele huku macho yamemtoka pima lakini alishindwa....alikuja kuzindukia wodini