Sina familia Niko peke yangu
kujenga sio kazi rahisi hasa kama wewe ni muajiliwa wa serikali kwa kuwa kipato ni limited sana inabidi ule nyasi kweli kweli kwa miaka mingi na udharirike sana mtaani.Habari za Muda Wana JF
Kama Kichwa Kinavojieleza, kumekuwa na mjadala hususani kwa Vijana kuhusu suala la ujenzi, hali inayopelekea wengine kutafuta Pesa kwa njia zisizofaa hususani waajiriwa
Wengi wanatamani kufikia maisha fulani kwa haraka baada tu ya kuajiriwa. Utakuta kijana kaajiriwa si muda mrefu lakini anatamani awe na Usafiri na kumiliki nyumba kipindi hicho hicho. Kitu ambacho kinakuwa kigumu bila kujua walivyonavyo wamestruggle for some years
Je, wewe ulianza ujenzi ukiwa katika hali gani ya kipato mfano mshahara ulikua sh ngap na uliwezaje kuugawanya na kupeleka kiasi kadhaa kwenye ujenzi na kingine kwenye majukumu ya binafsi na kifamilia pia? Karibuni, naamini mchango wako unaeza kuwa msaada mkubwa kwa wengine?
Hongera sana mkuu, ngoja nami nianze kudunduliza ili nianze kidogo kidogoNilianza
kibishi bishi ujenzi, nikiwa na miaka minne kazini. Nilinunua kiwanja 800k, ukubwa wa 20x40. Then nikaanza mdogo mdogo kwa pesa za field. Niliendelea mdogo mdogo mpaka ikaisha.
Hakuna linaloshimdokama mkuu. Likubwa maamuziHongera sana mkuu, ngoja nami nianze kudunduliza ili nianze kidogo kidogo
Nilianza
kibishi bishi ujenzi, nikiwa na miaka minne kazini. Nilinunua kiwanja 800k, ukubwa wa 20x40. Then nikaanza mdogo mdogo kwa pesa za field. Niliendelea mdogo mdogo mpaka ikaisha.
Nj ..uBaba/mama wenye nyumba njooni mtupe uzoefu wenu. (Nimechoka kupanga)
UmekwishaKujenga kunafaida kama unajua unataka kuishi miaka mingi duniani, lakini kama unajua tunaishi maramoja na sisi ni tunapita hapa duniani, basi hakuna sababu ya kuharibu hayo mamilioni kujenge njiani kwasababu sote tunapita...
Kwanini mkuu..??Umekwisha
Mods waunganishe hizi nyuzi za ujenzi maana zimezidi,au wafikirie kuanzisha jukwaa la mambo ya ujenziDuh kipindi hiki thread za ujenzi zina trend sana
Hama unapokaa kapange chumba cha 40,000,save 60 hiyo kwa mwezi kwaajili ya kiwanja.Naombeni ushauri Jamani napokea 740k take home Nina mwaka mmoja kazini mpaka Sasa nimepanga nimefanikiwa kununua vitu vya ndani tu TV, godoro ,kitanda na n.k na vile vile nilikua nimeanza ujenzi kumjengea bi.mkubwa nyumba yake nimeshapaua
Sasa napata hamasa Sana kuona mwaka unaisha Sina hata kiwanja na akiba yoyote benki naombeni ushauri nataka nipumzike kumalizia nyumba ya mama. Nijikusanye nitafute kiwanja nianze kujenga yakwangu siko comfortable kwenye nyumba za kupanga
Matumizi yangu baada ya kupata mshahara;: Niko dar!
1. Usafiri kwa mwezi 50,000
2. Kula kazini mwezi mzima: 150,000
3. Nyumbani: jioni na weekend: 100,000
4. Kwaajiri ya ujenzi wa nyumbani natuma Laki3 kila mwezi
Kodi kwa Mwezi laki 1 nalipa kwa miezi 6
Napokea hela nzuri kibongobongo! Hata hata inavyoisha sijui!
Naombeni ushauri
Mimi nilinunua kiwanja changu Kwanza ndo nikaanza kujenga nyumba ya wazazi imeshaisha Bado tiles chache wanauwezo wa kukaa.Naombeni ushauri Jamani napokea 740k take home Nina mwaka mmoja kazini mpaka Sasa nimepanga nimefanikiwa kununua vitu vya ndani tu TV, godoro ,kitanda na n.k na vile vile nilikua nimeanza ujenzi kumjengea bi.mkubwa nyumba yake nimeshapaua
Sasa napata hamasa Sana kuona mwaka unaisha Sina hata kiwanja na akiba yoyote benki naombeni ushauri nataka nipumzike kumalizia nyumba ya mama. Nijikusanye nitafute kiwanja nianze kujenga yakwangu siko comfortable kwenye nyumba za kupanga
Matumizi yangu baada ya kupata mshahara;: Niko dar!
1. Usafiri kwa mwezi 50,000
2. Kula kazini mwezi mzima: 150,000
3. Nyumbani: jioni na weekend: 100,000
4. Kwaajiri ya ujenzi wa nyumbani natuma Laki3 kila mwezi
Kodi kwa Mwezi laki 1 nalipa kwa miezi 6
Napokea hela nzuri kibongobongo! Hata hata inavyoisha sijui!
Naombeni ushauri