Je uko tayari kuoa au kuolewa na freemason?

Je uko tayari kuoa au kuolewa na freemason?

Abubakar Abdallah

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2017
Posts
281
Reaction score
170
. ..... Leo utuambie hapa utachukua maamuzi gani freemason kadata kwako au umedata kwake... Je utafunga nae ndoa?
 
Umesikia Freemasons wanawakaribisha watu wa dini zote kujiunga nao. Wanasisitiza mtu awe na dini kujiunga nap.
 
Kwahali yasasa ,watu wataolewa tu nawataoa tuuu .

Ila mradi rungu linasafishwa na maisha fresh.


Kuna jamaa aliwah sema ,,anaomba Jini limpende ,, sembuse Freemason ???
 
Free mason hii jamii mnaitafsiri kinjaa njaa na ulafi wa utajiri
 
Co pesa tu, vip kihusu imani wanazohusishwa nazo..

Abubakar Abdallah
Mzee Yule msela wao aliyeaga mwaka Jana alisema wana sadaka, na taratibu zao "japo alikataa katu kutaja aina za sadaka , taratibu za sadaka na mambo ya ndani akaishia kusema ni siri ya ndani'

Ukiona jambo linafanywa kuwa siri Sana tambua pana konakona nyingi na sintofahamu za kutosha.

Ila kwa kifupi , wote ninyi yaani, anayeoa au kuolewa majanga hamtayaepuka"
 
Abubakar Abdallah
Mzee Yule msela wao aliyeaga mwaka Jana alisema wana sadaka, na taratibu zao "japo alikataa katu kutaja aina za sadaka , taratibu za sadaka na mambo ya ndani akaishia kusema ni siri ya ndani'

Ukiona jambo linafanywa kuwa siri Sana tambua pana konakona nyingi na sintofahamu za kutosha.

Ila kwa kifupi , wote ninyi yaani, anayeoa au kuolewa majanga hamtayaepuka"
Wanakuambia inabidi umwamini kiumbe mkuu, lakini hutajiwi ni nan
 
Wanakuambia inabidi umwamini kiumbe mkuu, lakini hutajiwi ni nan

Abubakar Abdallah,
Ndiyo hapo sasa.
Tena yule Mzee.Chande akasema wanahitaji 21+ years old pia wazee mno hawatakiwa isipokuwa kama uzee ukukute bado kiumbe aliye siri hajakunyonya mate na damu ndiyo utawaona wazee sana.

In short, fmason its a society full of myths and jargons
 
Kikundi tu ila hakihusishi kupata mihela kirahisi kama mnavyowaza wale wanafanya kazi kama na kuhimizana kushika nyadhifa za juu duniani

Billie,
Mkuu,
Samahani, naomba nijbu hili swali kama umewahi kuwa na majibu yake.

Je, Fmason wanaweza wakamlazimisha mtu kuingia au ni free will of someone to join or not to!?

Shukuran mno mno kwa majibu.
 
Abubakar Abdallah,
Ndiyo hapo sasa.
Tena yule Mzee.Chande akasema wanahitaji 21+ years old pia wazee mno hawatakiwa isipokuwa kama uzee ukukute bado kiumbe aliye siri hajakunyonya mate na damu ndiyo utawaona wazee sana.

In short, fmason its a society full of myths and jargons
Kwanin wewe wasir ivo.... Apo kuna namna
 
Back
Top Bottom