Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,037
- 71,271
Duuhh kwa demu mpe Taarifa.
Kwa mkeo ulimuoa,iwe ni kwako au kwake, nenda bila Taarifa.
Na Umzoeshe kiasi kwamba ajuege "Jamaa hatabiriki".
Kumpa Taarifa mkeo, ni dalili ya udhaifu.
Kwa mkeo ulimuoa,iwe ni kwako au kwake, nenda bila Taarifa.
Na Umzoeshe kiasi kwamba ajuege "Jamaa hatabiriki".
Kumpa Taarifa mkeo, ni dalili ya udhaifu.