Je, ukichukua Vitu hivi katika Ndege pale ikitua tu unakoenda unakuwa Umeiba au Umechukua kile ambacho Umekilipia katika Nauli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,037
Nikipanda Ndege ( japo niweke tu wazi sijawahi Kupanda zaidi ya kuziona tu Angani zikipaa ) halafu nikitua kule niendako iwe ni hapa Afrika Kwetu au Mamtoni ( Ulaya ) kisha nikashuka na ile Mito ya Kuegemea iliyoko katika Siti, nikabeba pia na Headphones, Mataulo, Sabuni, Toilet Paper na Vinywaji kadhaa GENTAMYCINE nakuwa ninaiba au nabeba vile ambavyo nimevilipia katika Nauli?
 
Mkuu kwa uzoefu wangu zile headphone na vile viblanket vyepesi vya kujifunika huwa naona watu wanaondoka navyo, nimewahi kuondoka na headphone (KLM & Swiss air & American Airline).

Ki ukweli vile havitumiki mara 2 kwa makampuni ya ndege niliyowahi kutumia. Hilo la sabuni, toilet paper sina hakika kwani huwa tunashare vikiwa ndani ya choo kwa wale tunaopanda madaraja yetu ya uchumi wa chini-kati.

Vinywaji navyo sina hakika ila nadhani watavizuia wakati wa kucheck out.
 
Mkuu kwa uzoefu wangu zile headphone na vile viblanket vyepesi vya kujifunika huwa naona watu wanaondoka navyo, nimewahi kuondoka na headphone (KLM & Swiss air & American Airline). Ki ukweli vile havitumiki mara 2 kwa makampuni ya ndege niliyowahi kutumia. Hilo la sabuni, toilet paper sina hakika kwani huwa tunashare vikiwa ndani ya choo kwa wale tunaopanda madaraja yetu ya uchumi wa chini-kati. Vinywaji navyo sina hakika ila nadhani watavizuia wakati wa kucheck out.
Wewe ni Mhaya?
 
Mkuu kwa uzoefu wangu zile headphone na vile viblanket vyepesi vya kujifunika huwa naona watu wanaondoka navyo, nimewahi kuondoka na headphone (KLM & Swiss air & American Airline). Ki ukweli vile havitumiki mara 2 kwa makampuni ya ndege niliyowahi kutumia. Hilo la sabuni, toilet paper sina hakika kwani huwa tunashare vikiwa ndani ya choo kwa wale tunaopanda madaraja yetu ya uchumi wa chini-kati. Vinywaji navyo sina hakika ila nadhani watavizuia wakati wa kucheck out.
Vinywaji, chakula ulivyoomba na ukahudumiwa ni halali yako wewe sepa navyo. Ila vile vya chooni tumia acha humo humo na wenzio watakuja kutumia wakipanda.
 
Kama kweli Wewe ni Mzanaki naomba tuchati hapa hapa Kizanaki na tayari nimeanza hapo juu naona umeona. Hebu nawe nijibu Kizanaki niamini.
Kukisikia nakisikia chote kabisa tatizo siwei kuongea kiufasaha na kukiandika nako ni changamoto, ingawa nimezaliwa na kusomea hapa Nyamuswa hadi kidato cha 4, then nikapotelea mbali na home. Amazomu tata.
 
Yaani na wewe ni mzanaki? Karibu sana Nyamuswa
Lipe Heshima hilo Kabila tafadhali kwani bila Wazanaki Watanzania leo huu Uhuru mlionao mngekuwa mnausikia tu katika Bomba na Kutaabika pia.
 
Vinywaji, chakula ulivyoomba na ukahudumiwa ni halali yako wewe sepa navyo. Ila vile vya chooni tumia acha humo humo na wenzio watakuja kutumia wakipanda.
Kuna Njemba imeshuka katika Pipa / Mbung'o / Ndege jana usiku halafu amenipa Zawadi za Sabuni na Toilet Papers hivyo ngoja nimrudishie tu au?
 
Kukisikia nakisikia chote kabisa tatizo siwei kuongea kiufasaha na kukiandika nako ni changamoto, ingawa nimezaliwa na kusomea hapa Nyamuswa hadi kidato cha 4, then nikapotelea mbali na home. Amazomu tata.
Halafu ni kwanini nyie Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wakara na Warangi huwa mnapenda sana tu Kujifanya mnatokea Mkoa wa Mara?
 
Halafu ni kwanini nyie Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wakara na Warangi huwa mnapenda mno Kujifanya mnatokea Mkoani Kwetu Mara?
Mimi mzaliwa wa Nyamuswa, darasa la kwanza hadi kidato cha 4 nimesomea hapo (Makongoro sec & Ikizu secondary) ingawa ni muda mrefu sana. Alafu mbona wazanaki wa siku hizi ni kama wakwe zangu wa huko pwani tu. Ule uthubutu na ujasiri ushaisha, tunapigania matumbo yetu tu.
 
Hata kwenye mahoteli makubwa ukiingia kama yale nyota 5 utakuta wamekujazia mavitu kibao kama sabuni, shampo, miswaki, nk. Pia mataulo mengi mengi tu na vinywaji kwenye friji na juu ya meza.

Kasoro mataulo na vitu vya kwenye friji mashuka na vinavyofanana na hivo, vingine vyote beba umeshavilipia. Vinywaji nje ya friji na vitafunwa, sabuni, lotion, dawa za meno japo wengi hawaweki wakijua kila mtu ana dawa zake hupendela, shampoo, kitana nk. Chukua fungia kwenye begi tembea kwa kujiamini umeshavilipia.
 
Hilo lawazekana likawa kweli, lakini kwa asilimia ngapi ndio hatujui
Kwa 100% Mkuu kwani hujui kuwa Tanzania nzima Watu ambao wanaongoza kuwa na Akili Kubwa na Maarifa mengi ni wa kutokea Mkoani Mara?
 
Back
Top Bottom