GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,037
Nikipanda Ndege ( japo niweke tu wazi sijawahi Kupanda zaidi ya kuziona tu Angani zikipaa ) halafu nikitua kule niendako iwe ni hapa Afrika Kwetu au Mamtoni ( Ulaya ) kisha nikashuka na ile Mito ya Kuegemea iliyoko katika Siti, nikabeba pia na Headphones, Mataulo, Sabuni, Toilet Paper na Vinywaji kadhaa GENTAMYCINE nakuwa ninaiba au nabeba vile ambavyo nimevilipia katika Nauli?