Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,072
- 74,485
Huwezi jua ilitumika na nani kabla yako.Hiyo Mito nimuachie nani? Kwani na yenyewe sijailipia pia?
Huwezi jua ilitumika na nani kabla yako.Hiyo Mito nimuachie nani? Kwani na yenyewe sijailipia pia?
Matauro huondoki nayo, unachoweza kuchukuwa ni hizo shampoo, na pakti za coffee, pakti za maziwa, sukari and likes, dawa ya meno, miswaki lakini siyo vitu vingine.Unabeba tu mimi nilitembea na mataulo wakanisimamishia reception
Ndege za kimataifa kwenye final destination inashusha kila inapakia banka mpya kwahiyo wewe beba tu.Nikipanda Ndege ( japo niweke tu wazi sijawahi Kupanda zaidi ya kuziona tu Angani zikipaa ) halafu nikitua kule niendako iwe ni hapa Afrika Kwetu au Mamtoni ( Ulaya ) kisha nikashuka na ile Mito ya Kuegemea iliyoko katika Siti, nikabeba pia na Headphones, Mataulo, Sabuni, Toilet Paper na Vinywaji kadhaa GENTAMYCINE nakuwa ninaiba au nabeba vile ambavyo nimevilipia katika Nauli?
Duh... Mkuu unabeba mpaka Chapati za kutoka Uswahili Kwetu na unaruka nazo Angani hivyo hivyo na ukiwa mkavu huku Watu wakikukodolea tu?Ndege za kimataifa kwenye final destination inashusha kila inapakia banka mpya kwahiyo wewe beba tu.
Ila Fastjet mimi nilikuwa napanda na chapati zangu maana mule kila kitu wanauza, hiyo coffe, soda, maji, korosho kila kitu ni cash, nadhani kwa sababu bei yao ya ticket ilikuws rafiki watu hatukumind,.
🤣🤣🤣🤣🤸♂️ mkuu hautaki niende kwa malkia bali unataka niende kuzimuNitafutie Mavuzi ya Simba Dume na tena hakikisha unayakata ( unayachukua ) pale akiwa Mawindoni na ana Njaa ya Kitoweo ndiyo huwa mazuri.
No Pain No Gain.🤣🤣🤣🤣🤸♂️ mkuu hautaki niende kwa malkia bali unataka niende kuzimu
Njemba kakuletea tissue na sabuni pekee mimi unataka mavuzi ya Simba. Ama kweli kua uyaone
Watu wa aina yake utokea mara chache sana.Kumlinganisha Hayati Mwalimu na Sisi wana Mkoa wa Mara wa sasa ni sawa na Kumlinganisha Marehemu Maradona na Ditram Nchimbi wa Yanga.
vile vitu huwa havirudiwi kutumika mkuu, labda kwa hizi local flight.Huwezi jua ilitumika na nani kabla yako.
Yaani na wewe ni mzanaki? Karibu sana Nyamuswa
Hapana wazazi walihamia hapo na nikazaliwa huko, asili yao ni BusegweSasa Nyamuswa ni Mzanaki? Awe ni mwikizo mura
Kwani mimi nilitaja kama ni Intl au local flight?vile vitu huwa havirudiwi kutumika mkuu, labda kwa hizi local flight.
Hilo pia ni sahihi, ila uoga umezidi kwa vijana wa sasa, Mwl angelikuwa muoga hivyo tusingefika wapi
Hapana wazazi walihamia hapo na nikazaliwa huko, asili yao ni Busegwe
Sasa hapo utakuwa unajitafutia matatizo ya kujitakia kwani nijuavyo mimi kuwa zile toilet papers ukizichukua na kwenda kutumia nyumbani zinachubua mkundu na kukufanya utamani kudukuliwa nyuma, zenyewe zimetengenezwa tu kwa ajili ya kujichambia angani na si zaidi ya hapo.Nikipanda Ndege ( japo niweke tu wazi sijawahi Kupanda zaidi ya kuziona tu Angani zikipaa ) halafu nikitua kule niendako iwe ni hapa Afrika Kwetu au Mamtoni ( Ulaya ) kisha nikashuka na ile Mito ya Kuegemea iliyoko katika Siti, nikabeba pia na Headphones, Mataulo, Sabuni, Toilet Paper na Vinywaji kadhaa GENTAMYCINE nakuwa ninaiba au nabeba vile ambavyo nimevilipia katika Nauli?
Hapo hakuna pain tena mkuu ni death kabisa.No Pain No Gain.
Nilivyo ona hili jina Nyasirori nikajuwa huyu atakuwa mkwaya au mjita.Sawa kweli wewe ni Mzanaki, wale wa asili watengeneza mvua
Kenya airways,headphones,unaziacha,kitu ikikaribia kutua,wanazikusanya zote,Mkuu kwa uzoefu wangu zile headphone na vile viblanket vyepesi vya kujifunika huwa naona watu wanaondoka navyo, nimewahi kuondoka na headphone (KLM & Swiss air & American Airline). Ki ukweli vile havitumiki mara 2 kwa makampuni ya ndege niliyowahi kutumia. Hilo la sabuni, toilet paper sina hakika kwani huwa tunashare vikiwa ndani ya choo kwa wale tunaopanda madaraja yetu ya uchumi wa chini-kati. Vinywaji navyo sina hakika ila nadhani watavizuia wakati wa kucheck out.
Ni kweli kabisa mkuuKenya airways,headphones,unaziacha,kitu ikikaribia kutua,wanazikusanya zote,
Tatizo hata lugha yenyewe haipandi vizuri, nasikia yote ila kuongea mtihani.Sawa kweli wewe ni Mzanaki, wale wa asili watengeneza mvua