Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Naweza nikaeleweka vibaya lkn sio nia yangu bandugu, swali langu ni kuhusu maneno haya mawili, mwanamke na mwanaume, hivi uke na ume uko wapi? Sura ndo hutambulisha vyote hivyo au Maumbile? Nitafafanua kama ikihitajika hivyo....