sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 865
Nimeshangazwa na hatua aliyoichukua DC wa Wilaya ya Mvomelo Bi Betty Mkwasa.
Nadhani hata katiba ya Nchi inamzuia kufanya hicho alichofanya,kwamba; AMECHIMBA MTARO KUTENGANISHA WAKULIMA NA WAFUGAJI ILI KUSIWEPO MAINGILIANO , nawauliza wadau hili jambo ndio muarubaini wa magomvi kati ya wakulima na wafugaji?
Nadhani hata katiba ya Nchi inamzuia kufanya hicho alichofanya,kwamba; AMECHIMBA MTARO KUTENGANISHA WAKULIMA NA WAFUGAJI ILI KUSIWEPO MAINGILIANO , nawauliza wadau hili jambo ndio muarubaini wa magomvi kati ya wakulima na wafugaji?