Pundugu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 212
- 569
Kama inavyofahamika kuwa mtu anapokuwa na majukumu mengi hususani ndoa huwa anakuwa serious sana.Hii inatokana na mambo mengi yanayomkabiri mtu ikiwemo magomvi ya hapa na pale, ni kawaida kwenye ndoa, je inawezekana mtu kaamka na hangover ya ugomvi na wife akaigiza vizuri.
Karibuni.
Karibuni.