Je, tutamkumbuka Rais Samia kwa lipi kubwa alilofanya?

Samia anafanya kazi kubwa sana ila siyo mtu wa kutaka MASIFA kama Hayati Magufuli. Machache tutakayoyakumbuka ni kama ifuatavyo;
  • Kurudisha uhuru wa maoni kwa wananchi
  • Kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa
  • Kurudisha utawala wa sheria nchini na kufuta kesi za kubambikiza
  • Kuajiri wafanyakazi na kuwaongeza mishahara kila mwaka.

Hayo kwa mtazamo wangu ni makubwa kuliko kujenga bwawa la umeme, maana wakati wa Magufuli tulikuwa hunaishi kama WATUMWA nchini mwetu.

All in all hayuko nyuma kwenye ujenzi wa miundombinu kwa kuwa miradi yote iliyoanzishwa na Magufuli ilikuwa imefanyika chini ya 30%. Ndani ya miaka 2 akiwa madarakani miradi mikubwa iko zaidi ya 70% kama ifuatavyo;
  • JNHEPP 98%
  • Busisi Bridge 75%
  • Dodoma Capital 70%

Kuanzisha mradi ni kitu kimoja na kumaliza ni kitu kingine.

Hatuwezi kujua ubora wa Rais Samia mpaka aje atoke madarakani

Standard Gauge Railway imefikia asili Mia ngapi?
 
Kupapasa hiki na kile, na kile anachofanya kutoonekana. Kaachiwa nchi ina mipango, mikakati na utekelezaji, yeye kairudisha anapojua
 
Umesahau kuuza Ngorongoro kwa Waarabu.
Nafuu kuuza Ngorongoro kwa Waarabu kuliko Dikteta alivyokuwa anaua watanzania na kuwatupa baharini wakiwa kwenye viroba.

Ngorongoro hata ikiuzwa itabakia palepale ilipo, mkoa wa Arusha wala haiendi Dubai
 
Standard Gauge Railway imefikia asili Mia ngapi?
Yaweza kuwa 40 au 50% ila kumbuka kuwa Dikteta alikurupuka kuanzisha muiadi mikubwa bila uhakika wa vyanzo vya fedha.

Nikukumbushe tu tena kuwa kipande cha Dar- Moro yeye mwenyewe akiwa hai alisema kingeanza Novemba 2019, lakini mpaka anakufa mwenyewe mwaka 2021, hakikuanza. Hivyo ucheleweshaji wa SGR hauna uhusiano na Rais Samia
 
Amekamilisha na anaendelea na miradi mkakati iliyoachwa na mtangulizi wake ikiwemo ujenzi wa barabara za Rami,ujenzi wa bwawa la JULIUS NYERERE ,SGR, ununuzi wa ndege,upanuzi wa viwanja vya ndege nchi nzima,ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi na miradi mingineyo mingi.
 
Amekamilisha na anaendelea na miradi mkakati iliyoachwa na mtangulizi wake ikiwemo ujenzi wa barabara za Rami,ujenzi wa bwawa la JULIUS NYERERE ,SGR, ununuzi wa ndege,upanuzi wa viwanja vya ndege nchi nzima,ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi na miradi mingineyo mingi.
Wahafidhina hawataki kusikia haya. Wanamsifia aliyeanzisha wanamsahau anayetekeleza. Hata mpumbavu anaweza kuanzisha miradi, je fedha ya kujenga ataipata wapi?

Moumbavu alianzisha miradi bila kujua vyanzo vya fedha na amekufa hajamaliza, na misukule yake inamshangilia na kumuona wa maana.
 
Wahafidhina hawataki kusikia haya. Wanamsifia aliyeanzisha wanamsahau anayetekeleza. Hata mpumbavu anaweza kuanzisha miradi, je fedha ya kujenga ataipata wapi?

Moumbavu alianzisha miradi bila kujua vyanzo vya fedha na amekufa hajamaliza, na misukule yake inamshangilia na kumuona wa maana.
Basi amalize tatizo la umeme kama yeye ni mmaliziaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakumbukwa kwa DP World, wamasai waliofukuzwa kutoka mazingira yao ya asili, kushindwa kubadilisha katiba, uteuzi wa Makonda na Biteko na kutofanya chochote cha pekee kwa watanzania.
Wanawake hawafai kuwa wakuu wa nchi .maumbile yao kihisia na vifua vyepesi huwaathili .Mi na bosi mwanamke yaan hata usahau kufunga mlango wakati unatoka ofisini kwake atakwambia au kwa ssbabu mi mwanamke.japo wapo wale matomboy kama halima mdee huwa wanawezs maana wana hormone za kike
 
Hahahahahahah BONGO SIHAMI.

Mbona kafanya mengi tu

1. Umeme safi.
2. Katiba mpya
3.Fly over pale LUDEWA
4.........
 
Mama Hana Alam yoyote naona hi Kaz anaifanya kimagumashi tu kulinda maslai ya wanzanzibar na kuwalinda majangili
 
Wanawake hawafai kuwa wakuu wa nchi .maumbile yao kihisia na vifua vyepesi huwaathili .Mi na bosi mwanamke yaan hata usahau kufunga mlango wakati unatoka ofisini kwake atakwambia au kwa ssbabu mi mwanamke.japo wapo wale matomboy kama halima mdee huwa wanawezs maana wana hormone za kike
Kwa akili hiyo uliyonayo, wanawake wataendelea kukutawala sana. Hata mkeo tu atakudharau
 
Back
Top Bottom