Leo nimeshuhudia wanajeshi wakitoa taarifa kwa WAANDISHI wa habri wa vyombo mbalimbali, nilishangaa sana kuona waandishi wakishindwa kuhoji maswali muhimu na ya msingi hasa baada ya kupata majibu ambayo hayakuwa ya kuridisha kutoka kwa wasemaji wa jeshi.
Kuna wakati msemaji wa jeshi alisema kitu kama jokes, ajabu waandishi wetu, majority yao wakawa wana Smile tu kama kwamba hawakuwa kazini na issue hiyo ilikuwa serious na walitakiwa kupewa majibu ya kueleweka.
Nilimuona Joyce Mhavile nilishangaa hakuuliza hata swali moja ingawa kwa mtu kama yeye na wadhifa wake nilitegemea kuuliza swali au maswali ambayo yangeliwalazimisha wanajeshi kutoa majibu ya uhakika.
Mfano msemaji wa jeshi alisema kuwa milipuko haikutokea tena Mbagala kama kwamba ilikuwa ni jambo la mafanikio kwao kwa vile limetokea sehemu tofauti na mazingira tofauti, Waandishi hao hao walishindwa kuhoji kwa nini mambo haya yatokee ikizingatiwa kuwa zama hizi maswala ya SAFETY na ACCIDENT protection, RISK assesment ni vitu muhimu sana sana, msemaji mmoja alisema eti ajali kama hizi ni hutokea na hazina kinga, akatoa mfano nchi kama Ethiopia, Msumbiji etc.
Akasema hata uki search kwenye GOOGLE utaona ajali nyingi tu zimetokea, SO inaonekana kuwa ni kitu ambacho kinatarajiwa kutokea wakati wowote, je ni sahihi kuwa ajali ikitokea sehemu nyingine duniani tusishangae ikitokea hapa, aliendelea kujisifu kuwa sehemu zingine huwa ni SIRI wala wananchi na vyombo vya habari hawaelezwi, nimeshindwa kuelewa hawa waandishi sijui walikwenda hapo kufanya nini ( labda kugombania business card za maafande kama tulivyoona)
Kuna wakati msemaji wa jeshi alisema kitu kama jokes, ajabu waandishi wetu, majority yao wakawa wana Smile tu kama kwamba hawakuwa kazini na issue hiyo ilikuwa serious na walitakiwa kupewa majibu ya kueleweka.
Nilimuona Joyce Mhavile nilishangaa hakuuliza hata swali moja ingawa kwa mtu kama yeye na wadhifa wake nilitegemea kuuliza swali au maswali ambayo yangeliwalazimisha wanajeshi kutoa majibu ya uhakika.
Mfano msemaji wa jeshi alisema kuwa milipuko haikutokea tena Mbagala kama kwamba ilikuwa ni jambo la mafanikio kwao kwa vile limetokea sehemu tofauti na mazingira tofauti, Waandishi hao hao walishindwa kuhoji kwa nini mambo haya yatokee ikizingatiwa kuwa zama hizi maswala ya SAFETY na ACCIDENT protection, RISK assesment ni vitu muhimu sana sana, msemaji mmoja alisema eti ajali kama hizi ni hutokea na hazina kinga, akatoa mfano nchi kama Ethiopia, Msumbiji etc.
Akasema hata uki search kwenye GOOGLE utaona ajali nyingi tu zimetokea, SO inaonekana kuwa ni kitu ambacho kinatarajiwa kutokea wakati wowote, je ni sahihi kuwa ajali ikitokea sehemu nyingine duniani tusishangae ikitokea hapa, aliendelea kujisifu kuwa sehemu zingine huwa ni SIRI wala wananchi na vyombo vya habari hawaelezwi, nimeshindwa kuelewa hawa waandishi sijui walikwenda hapo kufanya nini ( labda kugombania business card za maafande kama tulivyoona)