Mambo kama haya endapo hayawekwi bayana, kusema kuwa mapambano dhidi ya rushwa ni ubatili mtupu.Maelezo kuhusiana na hilo yalishatolewa tatizo ni baadhi ya watu wanapenda kusikia Yale yanayofurahisha akili zao.
Mambo kama haya endapo hayawekwi bayana, kusema kuwa mapambano dhidi ya rushwa ni ubatili mtupu.Maelezo kuhusiana na hilo yalishatolewa tatizo ni baadhi ya watu wanapenda kusikia Yale yanayofurahisha akili zao.
Iliwekwa baya jinsi trilioni 1.5 ilivyo idhinishwa na kutumika?Bayana kivipi wakati maelezo yametolewa in public??
Na anaamini kuwa mapambano dhidi ya rushwa yanaendelea....Itakua kuna muda hukuwepo sayari hii na watu kama nyie ndio mnaopotosha wengine kwa kuendeleza mijadala isiyokuwa na tija.
Mie hadi lowasa yule mgombea cdm nafasi ya urais. Akirudisha ndiyo nitaamini ktk hii misamaha.Naam, Mh. Rais keshawasamehe mafisadi na kuwapa nafasi ya kutubu na kurejesha walivyokwapua. Hongera sana Mh. Rais.