Je, tunahitaji kuwa na msamaha wa kitaifa au tuendelee kufukua yaliyopita?

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,668
40,916
Bila shaka sote tunafahamu namna Taifa letu lilivyopitia katika kipindi kigumu sana cha rasilimali zake kutumika kiholela.

Ni katika kipindi hicho ndipo neno fisadi lilipozaliwa katika kamusi Yetu.

Bila shaka mpaka sasa sote tumeshuhudia namna awamu hii ya tano ilivyowekeza katika kupambana na ufisadi.

Mafisadi wamejulikana na kushughulikiwa.

Ingawa yote hayo yamekua yakifanyika Kelele za kuonewa kwa baadhi ya watu bado haziishi maskioni mwetu.

sote tnahitaji maendeleo, na maendeleo huja kwa juhudi za wote.

Naamini sote tunafahamu kuwa ufisadi ndio kansa ya maendeleo na ndicho kizuizi kikubwa kabisa.

Naamini pia sote tunakumbuka baada ya mauaji ya kimbari kule Rwanda ili kuhakikisha umoja wa kitaifa unarejea na kuharakisha maendeleo ziliundwa mahakama za kijamii, na mbinu za kuwataja na kuwaaibisha wahalifu badala ya kutumia mahakama za kawaida ambazo zingechukua muda zilitumika.

Je kwakua ufisadi umekua janga la kitaifa, na badala ya kutumia muda mwingi wa mahakama kupambana na hawa watu..

kwanini kama Taifa tusiamue tu kuwataja wote, tukawafahamu, na tukaanza upya???

Najaribu tu kuwaza.
 
Mwanasiasa gani kutoka CCM yuko jela au mahabusu kwa makosa ya ufisadi mpaka useme awamu hii imeshughulikia mafisadi?

Maafisadi ni waliokuwa wakuu wa mashirika ya umma tu na sio waliokuwa mabosi wao kwa maana ya wanasiasa?
Mashauri yaliyo mahakamani hayajabagua yeyote.
Je ili kiharakisha maendeleo Badala ya kuwashughulikia kwanini tusiwataje na kuwafahamu.

Naamini hata huko Chadema walitumia utaratibu kama huu kwa mgombea wao wa 2015;

Kama Taifa kwanini tusitumie utaratibu huu??
 
Bila shaka sote tunafahamu namna Taifa letu lilivyopitia katika kipindi kigumu sana cha rasilimali zake kutumika kiholela.

Ni katika kipindi hicho ndipo neno fisadi lilipozaliwa katika kamusi Yetu.

Bila shaka mpaka sasa sote tumeshuhudia namna awamu hii ya tano ilivyowekeza katika kupambana na ufisadi.

Mafisadi wamejulikana na kushughulikiwa.

Ingawa yote hayo yamekua yakifanyika Kelele za kuonewa kwa baadhi ya watu bado haziishi maskioni mwetu.

sote tnahitaji maendeleo, na maendeleo huja kwa juhudi za wote.

Naamini sote tunafahamu kuwa ufisadi ndio kansa ya maendeleo na ndicho kizuizi kikubwa kabisa.

Naamini pia sote tunakumbuka baada ya mauaji ya kimbari kule Rwanda ili kuhakikisha umoja wa kitaifa unarejea na kuharakisha maendeleo ziliundwa mahakama za kijamii, na mbinu za kuwataja na kuwaaibisha wahalifu badala ya kutumia mahakama za kawaida ambazo zingechukua muda zilitumika.

Je kwakua ufisadi umekua janga la kitaifa, na badala ya kutumia muda mwingi wa mahakama kupambana na hawa watu..

kwanini kama Taifa tusiamue tu kuwataja wote, tukawafahamu, na tukaanza upya???

Najaribu tu kuwaza.
We jamaa acha usanii. Ina maana hata yule dalali wa nyumba za serikali utamtaja? Pamoja na madudu yake yote ikiwemo kugawa nyumba kwa mademu zake?
 
Kwa zama hizi wanasiasa wote ni mafisadi na waongo, hukumu hutegemea nani ameshika mpini.

Ndio maana kuna baadhi ya makaburi hayatakaa yafukuliwe na ukijaribu kuyafukua utafukiwa nayo.
 
Kwa zama hizi wanasiasa wote ni mafisadi na waongo, hukumu hutegemea nani ameshika mpini.

Ndio maana kuna baadhi ya makaburi hayatakaa yafukuliwe na ukijaribu kuyafukua utafukiwa nayo.
Kama kuna ambayo hayafukuliki huoni kuwa tumepata sababu ya kusamehe na kuanza upya ?

Huu mfumo ni maarufu sana huko upinzani na unatumika sana.

Unatambulika kama " kuzaliwa upya"
 
Bila shaka sote tunafahamu namna Taifa letu lilivyopitia katika kipindi kigumu sana cha rasilimali zake kutumika kiholela.

Ni katika kipindi hicho ndipo neno fisadi lilipozaliwa katika kamusi Yetu.

Bila shaka mpaka sasa sote tumeshuhudia namna awamu hii ya tano ilivyowekeza katika kupambana na ufisadi.

Mafisadi wamejulikana na kushughulikiwa.

Ingawa yote hayo yamekua yakifanyika Kelele za kuonewa kwa baadhi ya watu bado haziishi maskioni mwetu.

sote tnahitaji maendeleo, na maendeleo huja kwa juhudi za wote.

Naamini sote tunafahamu kuwa ufisadi ndio kansa ya maendeleo na ndicho kizuizi kikubwa kabisa.

Naamini pia sote tunakumbuka baada ya mauaji ya kimbari kule Rwanda ili kuhakikisha umoja wa kitaifa unarejea na kuharakisha maendeleo ziliundwa mahakama za kijamii, na mbinu za kuwataja na kuwaaibisha wahalifu badala ya kutumia mahakama za kawaida ambazo zingechukua muda zilitumika.

Je kwakua ufisadi umekua janga la kitaifa, na badala ya kutumia muda mwingi wa mahakama kupambana na hawa watu..

kwanini kama Taifa tusiamue tu kuwataja wote, tukawafahamu, na tukaanza upya???

Najaribu tu kuwaza.
Ufisadi umepunguzwa kutoka kwa mafisadi wengi na kubakia kwa fisadi mmoja tu anayegawa pesa na kununua vitu bila bajeti kupitishwa na bunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka sote tunafahamu namna Taifa letu lilivyopitia katika kipindi kigumu sana cha rasilimali zake kutumika kiholela.

Ni katika kipindi hicho ndipo neno fisadi lilipozaliwa katika kamusi Yetu.

Bila shaka mpaka sasa sote tumeshuhudia namna awamu hii ya tano ilivyowekeza katika kupambana na ufisadi.

Mafisadi wamejulikana na kushughulikiwa.

Ingawa yote hayo yamekua yakifanyika Kelele za kuonewa kwa baadhi ya watu bado haziishi maskioni mwetu.

sote tnahitaji maendeleo, na maendeleo huja kwa juhudi za wote.

Naamini sote tunafahamu kuwa ufisadi ndio kansa ya maendeleo na ndicho kizuizi kikubwa kabisa.

Naamini pia sote tunakumbuka baada ya mauaji ya kimbari kule Rwanda ili kuhakikisha umoja wa kitaifa unarejea na kuharakisha maendeleo ziliundwa mahakama za kijamii, na mbinu za kuwataja na kuwaaibisha wahalifu badala ya kutumia mahakama za kawaida ambazo zingechukua muda zilitumika.

Je kwakua ufisadi umekua janga la kitaifa, na badala ya kutumia muda mwingi wa mahakama kupambana na hawa watu..

kwanini kama Taifa tusiamue tu kuwataja wote, tukawafahamu, na tukaanza upya???

Najaribu tu kuwaza.
Mmeshtuka! Kwanza onesha zilipo 1.5 T, ndipo tuje kuanza mambo ya kusuluhishana na kusameheana.
 
Hakuna awamu imewahi kuwa na ufisadi mkubwa na wakutisha Kama hii!! Udhulumishi na uonevu umevuka mipaka ndo maana nguvu kubwa inatumika kuficha maovu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamfungulia mtu kesi na mashtaka 600 kisha unamuweka sero miaka mitatu na mahakama inasema hakuna shtaka hata moja lenye mashiko.
Akiachiwa huru unamkamatia getini kisha unaleta mashtaka mapya 800.
Hii ndio inayoitwa kupambana na rushwa?

Unamuita mtu unamtishia kisha anakuongezea hisa bila wewe kutoa senti tano kisha unasema waziwazi ulishamwandalia mambo magumu!
Is this sustainable?
Huo uhusiano wa kibiashara utakaa hivyo miaka mingapi?

Jiwe anafanya mambo kama monitor wa PS.Ukimnyima barafu anakuandika wewe ni msumbufu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashauri yaliyo mahakamani hayajabagua yeyote.
Je ili kiharakisha maendeleo Badala ya kuwashughulikia kwanini tusiwataje na kuwafahamu.

Naamini hata huko Chadema walitumia utaratibu kama huu kwa mgombea wao wa 2015;

Kama Taifa kwanini tusitumie utaratibu huu??
Hahaha mlianza kutudanganya mlipotunga list, as wauza unga hadi 400, kumbe Wema Sepetu tu ndiye alikuwa na msokoto wa bangi.
Hata hao Mliowafungulia kesi feki naona kila siku wana shinda na mmeshindwa kuwaweka hatihani.
Hata Kilitya na wenzake juzi walishinda wakafutiwa mashitaka, DPP kesha sema hana ushahidi wa kuwatia hatihani, mkaona itakuwa aibu mkawakamata tena kwa makosa yale yale yasiyokuwa na ushahidi.
Sasa mtataja nini na nani maana hamna mtuhumiwa mnayeweza kusema huyu tumemkamata na ushahidi ni huu.
Mmebaki kuokoteza vijitaarifa mitandaoni mnamfungulia mtu kesi.
 
Hakuna mapambano dhidi ya ufisadi bali matumizi ya neno fisadi.
 
Hebu acha uongo wewe? Waliopokea pesa za wizi za Escrow akina Chenge, Tibaijuka lini watapandishwa kizimbani? Vipi kuhusu ukwapuzi wa 1.5 trillions kwanini unalindwa kwa kila hali? Vipi mauaji yanayofanywa nchini dhidi ya upinzani hayachunguzwi? Vipi kuhusu rushwa ya milioni 10 kwa kila mbunge wa ccm? Vipi kuhusu majizi ya ccm? Lini yatapandishwa kizimbani?

Katibu mkuu wa CCM Dr. Bashuri: CCM kuna majizi nikiyataja hapa mtashangaa. Sasa wezi wako CCM na ndio wenye serikali - JamiiForums

Usipende kuandika uongo humu.

Mashauri yaliyo mahakamani hayajabagua yeyote.
Je ili kiharakisha maendeleo Badala ya kuwashughulikia kwanini tusiwataje na kuwafahamu.

Naamini hata huko Chadema walitumia utaratibu kama huu kwa mgombea wao wa 2015;

Kama Taifa kwanini tusitumie utaratibu huu??
 
Utawataja wangapi wakati kila kukicha wanachipuka mafisadi wapya?
 
Utawataja wangapi wakati kila kukicha wanachipuka mafisadi wapya?
Hapa nazungumzia ufisadi uliofanyika awamu zilizopita na kesi zilizopo ;

Kwamba baada ya kugundua madhaifu Yetu tuwekeze muda na nguvu katika kutengeneza mifumo imara itakayo sahihisha makosa ya awali.

Rais Magufuli ajenge mifumo itayodhibiti mianya yoyote ya kifisadi. Anaweza.

Kwa Maana kwamba mifumo yenyewe inakuwa na uwezo wa kujihakiki na kujiendesha kwa ufanisi mkubwa
 
Kama kuna ambayo hayafukuliki huoni kuwa tumepata sababu ya kusamehe na kuanza upya ?

Huu mfumo ni maarufu sana huko upinzani na unatumika sana.

Unatambulika kama " kuzaliwa upya"
Tuanzie hapa kwanza weka bayana msimamo wako juu ya trillion Tsh1.5/-
 
Hapa nazungumzia ufisadi uliofanyika awamu zilizopita na kesi zilizopo ;

Kwamba baada ya kugundua madhaifu Yetu tuwekeze muda na nguvu katika kutengeneza mifumo imara itakayo sahihisha makosa ya awali.

Rais Magufuli ajenge mifumo itayodhibiti mianya yoyote ya kifisadi. Anaweza.

Kwa Maana kwamba mifumo yenyewe inakuwa na uwezo wa kujihakiki na kujiendesha kwa ufanisi mkubwa
Kwa hiyo hata yule aliyegawa nyumba kwa vimada wake naye tumsamehe? Hapana!
 
Tuanzie hapa kwanza weka bayana msimamo wako juu ya trillion Tsh1.5/-
Maelezo kuhusiana na hilo yalishatolewa tatizo ni baadhi ya watu wanapenda kusikia Yale yanayofurahisha akili zao.
 
Back
Top Bottom