Uchaguzi 2020 Je, tunaafiki hili suala la kutokupiga kura? Lilitolewa na mgombea wa CHADEMA?

Kawe Alumni

JF-Expert Member
Mar 20, 2019
8,685
11,988
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema amewaambia mashabiki wa Chadema kuwa wasiende kupiga kura kwa sababu ambazo hazina mashiko.

Sababu ya kwanza anadai kama mawakala hawataruhusiwa? Huu wasiwasi wa lissu unatoka wapi? Mawakala wataruhusiwa labda aseme kama hawaamini mawakala wake.

Mashabiki wa Chadema mnakubaliana na kauli ya huyu bwana? Kuwa tusiende kupiga kura?

Kama umegundua toka Lissu aingie kwenye awamu ya pili ya kampeni baada ya kufungiwa kwa kuvunja sheria za Uchaguzi amekuwa kama mtu aliyejikatia tamaa anaona anapoteza pesa ya kampeni bure tu.
 
Lissu hana hofu ya kushindwa, mwenye hofu ni mwenyekiti wetu japokuwa anabebwa na vyombo vyote, NEC na Polisi. Ana hofu na wananchi, kwa maana wananchi wakiamua hakuna wa kuwazuia.
 
Anahofia kushindwa, ametafuna pesa za Robertson wa Amsterdam na anajua hapati kitu
Kwahiyo anawasiwasi
Mimi ni ccm lakini nimemuelewa sana anasema mawakala wa vyama vyote ni lazima wawe wametimia na wote wawe wameapishwa na wote ni lazima wapatiwe nakala za matokeo baada ya zoezi la kupiga kura YAELEKEA JAMAA ANAPENDA SANA MAMBO YA HAKI HUYU
 
Mi swali langu la msingi daftari la wapiga kura limeshahakiki na kuhuisha wapiga kura wangapi kwa ujumla Tanzania nzima?

Naanza kuwa na wasiwasi huu uchaguzi watu wengi wanaweza wasipige kura.

Naomba tujuzane wadau
 
Hivi kama unaona kichwa chako kimejaa upupu unatokaje hadharani na kuandika mambo ya uwongo?
 
Wapiga kura ni milion 29
Mi swali langu la msingi daftari la wapiga kura limeshahakiki na kuhuisha wapiga kura wangapi kwa ujumla Tanzania nzima?

Naanza kuwa na wasiwasi huu uchaguzi watu wengi wanaweza wasipige kura.

Naomba tujuzane wadau
 
Lumumbavu bana
38a2e92b649209a9054f8ec9af05431c.jpg
 
Back
Top Bottom