Je, tuna Watu Jeuri (Kauzu) kama akina Nancy Pelosi katika Serikali (Tawala) zetu za Afrika hii ya sasa?

Labda niulize huku kwenye kijiwe chetu wanachoita bunge, yaani Tanganyika pamoja na koloni lake walilompora Sultani huwa wanagawa hotuba zilizochapwa?

Maana sijawahi kushuhudia mtanange wa aina hii kwenye hili genge letu huku.
 
Africa mtawala yuko juu ya sheria ni mungu kamili kapewa amri ya kufanya chochote
 
Kuna wanawake wanatabia za kiume, sio unakuta jitu lina sura nzito kama kifusi, halafu linatabia za kike yaani "dhaifu" kimtazamo na msimamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia sahihi ilkuwa kutoka nje badala ya kuichana hotuba maana ujumbe umefika kwa wote hata kama aliichana! Kitendo cha yeye kubaki mle ndani hadi Trump anamaliza kulihutubia Bunge ni wazi alifuatilai hotuba yote na kujua yote yaliyomo!
 
Huku kwetu labd mtu kama Miguna Miguna au yule Jaji Maraga wa Kenya ambao walifanya mambo fulani bila kujali watukuwa salama au la! Lakini pia kuna mama mmoja ambaye aliwahikuwa Waziri wa UIngereza ambaye alisimamia ukweli juu ya ununuzi wa RADA, scandal iliyoibua vijisenti vilivyolipwa kwa Joka la Makengeza na genge lake! Nadhani anaitwa SARA COOKIE ni mfano mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…