Je, Tuendelee Kuamini Ipo Siku Bakhresa Atarudi Simba SC?

Hizo ni story za vijiweni tu, unahisi waliokuwepo kwenye mchakato wa hiyo tenda walikuwa wajinga waache B45 wakubali B20?
Ingawaje sio kwamba naunga mkono hoja ya Mchangiaji kwa sababu I don't comment on gossips, lakini najiuliza tu ikiwa umekulia Tanzania na Afrika kwa ujumla au umezaliwa na kukulia Switzerland?!
 
Ingawaje sio kwamba naunga mkono hoja ya Mchangiaji kwa sababu I don't comment on gossips, lakini najiuliza tu ikiwa umekulia Tanzania na Afrika kwa ujumla au umezaliwa na kukulia Switzerland?!
Kama hauungi mkono hoja inamaana haukubaliani na alichokiandika.
 
Mo alifanya propaganda alishika vyombo vya habari , alikuwa hakauki kwenye vipindi vya MICHEZO, uzuri mo , Sales and marketing anaijua


Hili sakata nililifatilia vzr Sana, kwa kipind kile hata angekuwepo mtu ana billions 100 bado asingepindua kwa Mo mwenye propaganda ya B20 hewa.


Kwanza alianzaga na style Kama anajitolea, akawasajiria Simba, akahudumia timu, n.k ,baadae walipotaka kumbana Akawaambia wamrudishie gharama zote, Nakumbuka Kuna dirisha moja alitoaga had Million 200 ,

Soma Hapa


MWISHO Simba walinywea wakaona wameshakula vya Mo , sharti wamuachie Timu

The rest is History
Hiyo ml200 si wangeweza kutoa ktk hizo B45 zisizo hewa za Bakhresa wakaachana na msanii ambae alikua anawarubuni tu. So hadi FCC nao walidanganywa kumbe hela hamna. Lakini ipo siku ukweli tutaujua.
Kitu ambacho ninauhakika Bakhresa alisingiziwa tu hakutoa hiyo powa kuwekeza Simba.
 
Kama hauungi mkono hoja inamaana haukubaliani na alichokiandika.
Nimekuambia huwa si-comment kwenye gossips.

Nilicho-comment hapo ni hiyo dhana yako kwamba, hawawezi kukataa 45B halafu wachukue 20B kwa sababu "wao sio wajinga"!

Unafikiria hayo huku huku ukisahau mtu anaweza kuweka 25B, na kuwa tayari 5B kati ya hizo iingie mifukoni mwa watu halafu watangaze 49% ya hisa zimeuzwa kwa 20B!!

Matokeo yake, 49% anapewa aliyetoa 25B huku 5B zikiingia mifukoni mwa watu na yule aliyetoa 45B na kutaka zote ziwe mali ya klabu, anapigwa chini!!
 
Mo alifanya propaganda alishika vyombo vya habari , alikuwa hakauki kwenye vipindi vya MICHEZO, uzuri mo , Sales and marketing anaijua


Hili sakata nililifatilia vzr Sana, kwa kipind kile hata angekuwepo mtu ana billions 100 bado asingepindua kwa Mo mwenye propaganda ya B20 hewa.


Kwanza alianzaga na style Kama anajitolea, akawasajiria Simba, akahudumia timu, n.k ,baadae walipotaka kumbana Akawaambia wamrudishie gharama zote, Nakumbuka Kuna dirisha moja alitoaga had Million 200 ,

Soma Hapa


MWISHO Simba walinywea wakaona wameshakula vya Mo , sharti wamuachie Timu

The rest is History
Mo hakutaka simba ijitegemee ndio maana alipinga mkataba wa sportpesa pia alijenga mazingira ya kutokuwa na mshindani ndio maana alianza kukopesha timu kabla ya mchakato was ubinafsishaji.
Wale wote waliofanikisha walipewa zawadi ya ujumbe wa bodi.
Kama alinumua hisa kwa billion 20 kwanini alipinga udhamini wa billion 40 za bakheasa kwa miaka 10
 
Mo hakutaka simba ijitegemee ndio maana alipinga mkataba wa sportpesa pia alijenga mazingira ya kutokuwa na mshindani ndio maana alianza kukopesha timu kabla ya mchakato was ubinafsishaji.
Wale wote waliofanikisha walipewa zawadi ya ujumbe wa bodi.
Kama alinumua hisa kwa billion 20 kwanini alipinga udhamini wa billion 40 za bakheasa kwa miaka 10
Unakumbuka point za Mo kwenye deal la sportpesa ? Mo ndo alikuwa wa kwanza kusema ile pesa ni ndogo kwa taarifa yako

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
M
Unakumbuka point za Mo kwenye deal la sportpesa ? Mo ndo alikuwa wa kwanza kusema ile pesa ni ndogo kwa taarifa yako

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Mkataba wa sports pesa hata kama ulikuwa mdogo huwezi kufananisha na mikataba ya matangazo ya kampuni zake , mkataba wa Azam pia alisema mdogo ingawa ametoa pesa nyingi kuliko alizotoa yeye kununulia timu
 
Jana kwenye tuzo za TFF nilipata nafasi ya kupiga stori na dogo Yusuph.

Huyu dogo, kama wengi mnavyo fahamu kuwa na mtoto wa shabiki wa zamani wa Simba SC.

Katika kupiga story mbili tatu nikagundua kuwa dogo ana matamanio sana ya kuisukuma Azam FC ifike mbali. Ila amekuwa akilalamika pakubwa kuhusu watendaji.

Aidha licha ya Kudai kuwa “Bakhressa Group Of Companies” ina bajeti finyu katika kuendesha klabu bado wanayo nafasi ya kutosha kushindana katika ligi.

Dogo akajaribu kunipa stori fupi ya mpango wake wa muda mrefu na muda mfupi wa klabu ya Azam FC.

Akadai kuwa amekuwa mbali sana na shughuli za uendeshaji wa klabu na hivi sasa amerudi kwenye usikani ili kisimamia kila jambo. Aidha amedai kuwa atahakikisha bajeti ya klabu inatanuliwa ili kuwa nanushindani sawia na simba na yanga.

Mona kati ya mipango yake ya muda mrefu ni kuhakikisha Azam FC anatwaa tajinla Ligi Kuu si chini ya mara 2 katika misimu 8 ijayo.

Maswali ya kujiuliza:
Kumekuwa na mijadara humu jukwaani kuwa Mo aiache Simba ili apewe Bakhressa. Mnauhakika Dogo Yusuph ana mpango huo wa kuidhamini Simba?

Je hata kama Mzee Bakhresa mwenyewe ni shabiki wa Simba. Je kipi kimebadilika ambacho kilimfanya aachane na kuifadhili Simba na aanzishe Klabu yake?

Je, akirudi Simba Incase ikiwezekana (ila sote tunajua uwezekano ni finyu sana)..vipi kuhusu mustakabali wa klabu yake Azam FC?

Kwamba anaweza kudivert rasilimali pesa kwenye klabu 2 tofauti na zote zikafanya vizuri?

Je, Bakhresa atakuwa tayari kutanua bajeti kwa ajili ya soka mara mbili zaidi ya sasa? Titambue kuwa alipunguza bajeti hata ikashindikana kuwabakiza wakina Bocco na Manula.
.
FB_IMG_1611660294488.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom