Shida yenu nyinyi wa Kijani ni kua kila kinachosemwa na Wapinzani mnakiona hakina maana, yaani hata mafikirishi akili zenu kujadili, mnakikataa tu. Tukiweka ushabiki pmbeni, Lissu anakubali kua tunaibiwa hajakataa kabisa, ila tunaibiwa wapi ndio tunatofautiana.Sizani kama upo sahihi. Lisu huyu aliyejitokeza adharani akidai Tanzania itashtakiwa na kunyolewa na maji ya baridi. Uzalendo wa kina Lisu imebaki kutetea wezi tu and not otherwise.
Tulia kwanza ndiyo mchakato unaaza.Lisu kaumbuka sana yeye alisema tutashitakiwa na tutalipa hela nyingi kwenye macampun ya madin wakati wahusika wenyewe wa madini wamekubali sasa hapo lisu na mtu gan ktk nchi hii?
Kutulia kwa maana ya chama kilichokongoroka ccm , ni kushiriki kuvunja katiba kama anavyofanya Mwenyekiti wao sio ?Tatizo Jamaa domo tu, lakin kuna wakati ana point, nadhani kipindi hiki cha kuunda First Eleven ya makinikia na Barrick Kocha angeweza kumuingiza ila kwa harakati zake mmh sijui.
Au mnaonaje tushauri awepo nn?
Hebu wataje wengine wanaofaa kuwemo katika hiyo timu.
Kama ni kupeleka ng'ombe malishoni sawa.Kibajaji na Msukuma wasikosekane wana point sana
Sema kwa manufaa ya wezi Accacia na BarrickTundu Lissu ni lazima awepo kwenye first 11 kwa manufaa ya taifa
Wafuatao waongezwe katika timu yetu ya makinikia ili wakapambane na wazungu
1.Bashite
2.Gumbo
3.Kessy MB
4.Lusinde MB
5.Faiza
Hii ni timu ya ushindi.
Chama Cha MakinikiaHakuna haja ya kuweka politicians kwenye hiyo Tume...
Una maanisha magufuli anaropoka au?Issue ni uwezo na Uzalendo...Si lazima Kabudi kuingia anaweza akafuatilia tu...nchi hii ni kubwa na ina wataalamu wabobezi....majaduliano sio kelele za majukwaani....I wonder Wanasiasa wanavyoropoka kwa kusoma abstract za reports.