OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,708
Anajitumia wapi?mbona wengine hatuoni,au chini ya kitanda?Majeruhi yamemwandama ila dogo anajituma sana
Anajitumia wapi?mbona wengine hatuoni,au chini ya kitanda?Majeruhi yamemwandama ila dogo anajituma sana
Nayo Ni kazi piaAnajitumia wapi?mbona wengine hatuoni,au chini ya kitanda?
Yanga mnazidi kumuudhi Kichuya,atawapiga goli la tik take kama Singida untKucheza tu timu kama Tp mazembe kwa mchezaji yoyote wa africa mashariki ni bonge ya cv...
kwa hapo tu inaonesha thomas mpira anaujua...
hao kina kichuya hakuna lolote.. wanakabana na beki za maji maji, mbao, stendi utd ndio maana mnawaona wanamzidi thomas....
kama wangekuwa wanaujua mpira wasingecheza timu za tanzania... nao wangeenda hata mazembe
Yaani miaka 24huwezi nunuliwa ulaya!?we vp mkuu!?Tatizo lilikuwa ni umri! Tayari alikuwa ana miaka 23, angekaa mwaka mmoja ina maana tayari angekuwa na miaka 24 ...sasa kwa miaka hyo 24.timu gani ulaya ingemnunua??
Unaweza mkuu ila ni ngumu sana, tena unatakiwa kuwa na uwezo usio wa kawaidaYaani miaka 24huwezi nunuliwa ulaya!?we vp mkuu!?
Amerudi unyamani mbaya wao kuja kuwafanyia vitu vyeusiYanga mnazidi kumuudhi Kichuya,atawapiga goli la tik take kama Singida unt