Je Thomas Ulimwengu alikuwa overrated?

Kucheza tu timu kama Tp mazembe kwa mchezaji yoyote wa africa mashariki ni bonge ya cv...

kwa hapo tu inaonesha thomas mpira anaujua...

hao kina kichuya hakuna lolote.. wanakabana na beki za maji maji, mbao, stendi utd ndio maana mnawaona wanamzidi thomas....

kama wangekuwa wanaujua mpira wasingecheza timu za tanzania... nao wangeenda hata mazembe
 
Kucheza tu timu kama Tp mazembe kwa mchezaji yoyote wa africa mashariki ni bonge ya cv...

kwa hapo tu inaonesha thomas mpira anaujua...

hao kina kichuya hakuna lolote.. wanakabana na beki za maji maji, mbao, stendi utd ndio maana mnawaona wanamzidi thomas....

kama wangekuwa wanaujua mpira wasingecheza timu za tanzania... nao wangeenda hata mazembe
Yanga mnazidi kumuudhi Kichuya,atawapiga goli la tik take kama Singida unt
 
Hahahahaha ss huyo Mbaraka yusuph mwenyewe kwa ss yuko timu ganii??
Thomas Ulimwengu ni majeraha tuu ndo yamemmalizaa ila kiuwezo alikua yuko vzr mnooo
 
Ulimwengu hana kipaji cha mpira... ila anapenda mpira na juhudi... nakubaliana na ww anajina kubwa kuliko uwezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom