Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,491
Ukiondoa majeraha yaliyomkumba siku za karibuni, nini kimemsibu straika huyu wa Kitanzania tuliyeaminishwa ana kipaji kikubwa kiasi cha kwamba angeweza kucheza klabu yoyote kubwa barani ulaya?
Mimi naamini Mbaraka Yusuph ana uwezo mkubwa kuliko Thomas Ulimwengu.
Ni wapi Thomas alipokosea? Au alikuzwa kuliko uwezo wake (overrated) ?
Mimi naamini Mbaraka Yusuph ana uwezo mkubwa kuliko Thomas Ulimwengu.
Ni wapi Thomas alipokosea? Au alikuzwa kuliko uwezo wake (overrated) ?