Je Thomas Ulimwengu alikuwa overrated?

Ukiondoa majeraha yaliyomkumba siku za karibuni, nini kimemsibu straika huyu wa Kitanzania tuliyeaminishwa ana kipaji kikubwa kiasi cha kwamba angeweza kucheza klabu yoyote kubwa barani ulaya?
Mimi naamini Mbaraka Yusuph ana uwezo mkubwa kuliko Thomas Ulimwengu.

Ni wapi Thomas alipokosea? Au alikuzwa kuliko uwezo wake (overrated) ?
Alikosea kuondoka TP Mazembe

Alikuwa na haraka mno cjui alitaka afanane na Samata kwenda Ulaya..

Alikuwa ktk pick..angesubiri wala msimu 1 then angefanya chaguo sahihi wapi atue
 
Thomas Ulimwengu kosa alilo lifanya ni kuondoka TP Mazambe...! Wakati anaondoka kwa muono wangu mimi alikuwa bado haja jipanga ila akili yake ilikuwa iwaza kwenda kucheza soka nje Ya Afrika...!

Kwa mtazamo wangu Ulimwengu alitaka kujifananisha Na Samatta au kutaka kufikia mafànikio ya Samatta.. pale Mazambe alikuwa pia bado hana namba ya uwakika..MTU ALIYE MSHAURI HAKUWA SAHIHI KWENYE HILI...

Ishu sio kwamba THOMAS kashuka kiwango hilo sina uwakika nalo ila jamaa skjui kama anajitihada za kutaka kufika pale anapo taka yeye.. Kwa hapa Bongo Kichuya , Mzamiru, Mo ibrahim,Mwashiuya na Ajibu hawa ni mfano wa wachezaji ambao Thom ameachwa mbali sana na hao uwanjani
Thom yupo kwenye level ya huyo MBARAKA YUSUPH .....
 
Thomas Ulimwengu kosa alilo lifanya ni kuondoka TP Mazambe...! Wakati anaondoka kwa muono wangu mimi alikuwa bado haja jipanga ila akili yake ilikuwa iwaza kwenda kucheza soka nje Ya Afrika...!

Kwa mtazamo wangu Ulimwengu alitaka kujifananisha Na Samatta au kutaka kufikia mafànikio ya Samatta.. pale Mazambe alikuwa pia bado hana namba ya uwakika..MTU ALIYE MSHAURI HAKUWA SAHIHI KWENYE HILI...

Ishu sio kwamba THOMAS kashuka kiwango hilo sina uwakika nalo ila jamaa skjui kama anajitihada za kutaka kufika pale anapo taka yeye.. Kwa hapa Bongo Kichuya , Mzamiru, Mo ibrahim,Mwashiuya na Ajibu hawa ni mfano wa wachezaji ambao Thom ameachwa mbali sana na hao uwanjani
Thom yupo kwenye level ya huyo MBARAKA YUSUPH .....

Hizi dharau sasa Yaan Ulimwengu kaachwa kiuwezo na Kichuya anacheza hapa mchangani tuache utani wazee Ulimwengu majeraha tu ila jamaa yupo Fresh
 
Thomas Ulimwengu kosa alilo lifanya ni kuondoka TP Mazambe...! Wakati anaondoka kwa muono wangu mimi alikuwa bado haja jipanga ila akili yake ilikuwa iwaza kwenda kucheza soka nje Ya Afrika...!

Kwa mtazamo wangu Ulimwengu alitaka kujifananisha Na Samatta au kutaka kufikia mafànikio ya Samatta.. pale Mazambe alikuwa pia bado hana namba ya uwakika..MTU ALIYE MSHAURI HAKUWA SAHIHI KWENYE HILI...

Ishu sio kwamba THOMAS kashuka kiwango hilo sina uwakika nalo ila jamaa skjui kama anajitihada za kutaka kufika pale anapo taka yeye.. Kwa hapa Bongo Kichuya , Mzamiru, Mo ibrahim,Mwashiuya na Ajibu hawa ni mfano wa wachezaji ambao Thom ameachwa mbali sana na hao uwanjani
Thom yupo kwenye level ya huyo MBARAKA YUSUPH .....
Tatizo lilikuwa ni umri! Tayari alikuwa ana miaka 23, angekaa mwaka mmoja ina maana tayari angekuwa na miaka 24 ...sasa kwa miaka hyo 24.timu gani ulaya ingemnunua??
 
Huyo nguvu nguvu ila sijawahi kumkubali ila namheshimu tu

Kwa nilivyomtizama stars mechi alizocheza yupo vzr kwenye nguvu nguvu tu purukushani ila footwork 0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom