Je! tatizo ni nini? Na nani chanzo cha tatizo hili?

Vijana hawapendi kujishughurisha ndio maana wanachekelea kuwa "mario", lakini wangejitambua thamani yao wange kwepa gharika hili, wewe kufanywa sex toy la bi mkubwa unapewa visenti bichwa linakuwa kuumbwa, bi mkubwa akikuchoka unatolewa nduki na lambo yako, chakalikeni achaneni na slope mtakufa mapema.
 
Vijana hawapendi kujishughurisha ndio maana wanachekelea kuwa "mario", lakini wangejitambua thamani yao wange kwepa gharika hili, wewe kufanywa sex toy la bi mkubwa unapewa visenti bichwa linakuwa kuumbwa, bi mkubwa akikuchoka unatolewa nduki na lambo yako, chakalikeni achaneni na slope mtakufa mapema.
Kumbe shida si kina mama wenyewe tatzo liko kwa vijana eeeh!
 
Unataka kusema kwa vibabu vyenyewe kuoa vibinti ni sawa?
Sijasema hivyo mkuu, tunaongelea vijana ambao wanatumia madawa ili waweze kuwaridhisha hao majimama huoni miaka ya baadaye hali itakuwa mbaya kwa wanaume, sasa tatzo ni nini kwa hawa kina mama, hawaridhishwi na waume zao au tamaa?
 
Nimewai kua na uhusiano na majimama kama matatu tofauti nina uzoefu mkubwa juu ya sababu za hili jambo mnaweza kuniuliza lolote nitawajibu pia
 
Tatizo kubwa lililopo ni kukosekana kwa uaminifu wa wanandoa na pia kuvumiliana kwa kila hali.Na usiwalaumu wanawake tu bali wanaume pia unakuta mtu kaoa halafu ana michepuko nje ya kutosha hata akirudi home hampi mkewe stahiki yake na ndio mwanzo wa kutoka nje kutafuta wa pembeni
Kwa maana hiyo kizazi hiki uaminifu umekuwa mdogo, hivi unajua kumridhisha mwanamke kwa kawaida ni kazi sana maana inahitaj ubunifu kidogo, sasa unafikir kwa mtu mzima ni nguvu kiasi gani zinatumika kumridhisha na kumbuka mwanamke jinsi umri unavyo kwenda sex desire inapungua, sasa hawa vijana wanatumia nguvu kiasi gani mpaka kuwaridhisha hao majimama na je kwa mtazamo wako kizazi cha baadaye uwezo wa wanaume katika suala la kitandani unaupimaje?
 
Nimewai kua na uhusiano na majimama kama matatu tofauti nina uzoefu mkubwa juu ya sababu za hili jambo mnaweza kuniuliza lolote nitawajibu pia
Uwezo wako kitandani ukoje mpaka sasa? na umesema umewahi nini kilikufanya uache? tupe tofauti ya mahusiano kati ya hawa majimama na hawa wa umri wetu?
 
Maisha ya sasa yanawavuta watu huku na huko kwa changamoto nyingi sana

1. Maadili yameshuka kwa wote wakubwa na wadogo.

2. Kupenda maisha ya anasa bila kupenda kujishughulisha.

3. Kuiga maisha ya maigizo ya kwenye luninga.

4. Matatizo ya kiafya kutokana na ulaji wa hovyo/kutokufanya mazoezi.

sasa yote au baadhi ya hayo yanaweza kuwa sababu za haya tunayoyaona.
Uchambuzi mzuri nimeupenda big up
 
ivi unaatambua suala la tabia ni ngumu sana

kwann mtu achepuke na serengti boy alafu amlaumu mumewe hafikishi???
dhana ya uvumilivu kwenye ndoa/mausiano ni shida
wtu wanatenda makosa afu wannasema wenza wao ndo tatizo.
Kwa hiyo tatzo hapa ni kusingiziana sio, kama ni kuridhishwa wanaridhishwa ila ni tamaa tu ndo inawongoza
 
Ni kwasababu ya science na Technolojia
Hiyo sayansi na teknolojia imechangia vipi kuwepo kwa hiyo hali kwamba watu hawajali liwalo na liwe au kuna sababu zinawafanya wachukue maamuzi hayo?
 
Back
Top Bottom