Je, Tanzania tunajifunza nini kuhusu ubabe wa dunia/kuhusu vita vinavyoendelea?

Je, Tanzania tunajifunza nini kuhusu ubabe wa dunia/kuhusu vita vinavyoendelea?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,858
Reaction score
4,561
Je na sisi tunaweza tukatunisha msuli?
Je Jwtz inaweza ikatuonesha suprise kwa raia wake na kwa ulimwengu kwa ujumla?
Je tuna mahandaki kwaajili ya usalama wa raia,
Je tuna air defensive systems
Je tunaweza ishika sehemu nyeti dunia kama vile Hormuz
 
Anachokifanya Usa .. kimaadili na kwa mujibu wa Sheria hayuko sahihi... Lakini deep down ukifuatilia pasipo biasness na chuki ,USA yuko sahihi ku conquer mataifa mengine kwa maslahi mapana yake. Kuwa world superpower inabidi alipe heavy price ili ku maintain kuwa juu
 
Anachokifanya Usa .. kimaadili na kwa mujibu wa Sheria hayuko sahihi... Lakini deep down ukifuatilia pasipo biasness na chuki ,USA yuko sahihi ku conquer mataifa mengine kwa maslahi mapana yake. Kuwa world superpower inabidi alipe heavy price ili ku maintain kuwa juu
Kabisa mkuu,maana ni kitambo sana USA hajaenda front kupigana.
 
Kabisa mkuu,maana ni kitambo sana USA hajaenda front kupigana.
Na ndio anachokifanya.. na unaweza Kuta anaenda Frontline kupigana ili ku stimule trade deals around the world... Angalia tu sahivi hii vita yake na Iran,, Kuna nchi tayari bei ya mafuta imepanda ... Sio kwa bahati mbaya... Watu wanaweza sema mmarekani ana chuki na ayatollah kumbe nyuma ya pazia maybe ni kutaka kuwa Monopoly wa kudhibiti supply ya mafuta duniani... Angalia kilichotokea Venezuela then angalia Iran... Ukifuatilia vizuri Kuna mfanano fulani wa interest za mmarekani nyuma ya pazia
 
Israel and USA wameshambulia Targets zaidi ya 20,000 Iran


Kwa lugha nyingine Israel na USA wakitaka Makoloni wanapata makoloni 20 kila mmoja

Tanzania kuna Target 2 au 3 tu
 
Je na sisi tunaweza tukatunisha msuli?
Je Jwtz inaweza ikatuonesha suprise kwa raia wake na kwa ulimwengu kwa ujumla?
Je tuna mahandaki kwaajili ya usalama wa raia,
Je tuna air defensive systems
Je tunaweza ishika sehemu nyeti dunia kama vile Hormuz
Usipokuwa na uchumi mkubwa huto heshimika.
And no body cares
 
Back
Top Bottom