K Kimbori JF-Expert Member Feb 21, 2012 5,461 3,210 Sep 6, 2012 #1 Kuna aina tatu za mifumo ya uchumi duniani amabyo ni; ubeperi, ujamaa, na mchanyanyiko wa ubepari na ujamaa. Naoma kujua, je Tanzania inatumia aina ipi?, je umeainishwa sehemu gani katika Katiba? Naomba kuwakilisha.
Kuna aina tatu za mifumo ya uchumi duniani amabyo ni; ubeperi, ujamaa, na mchanyanyiko wa ubepari na ujamaa. Naoma kujua, je Tanzania inatumia aina ipi?, je umeainishwa sehemu gani katika Katiba? Naomba kuwakilisha.