Je Tanzania inafuata mfumo gani wa uchumi?

Kimbori

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
5,417
3,154
Kuna aina tatu za mifumo ya uchumi duniani amabyo ni; ubeperi, ujamaa, na mchanyanyiko wa ubepari na ujamaa.
Naoma kujua, je Tanzania inatumia aina ipi?, je umeainishwa sehemu gani katika Katiba?
Naomba kuwakilisha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom