Mzee mambo mengine yanawezekana kwa nadharia tu...Je suis Charle Hebdo hata huko Ufaransa haikuwasaidia
Kama nilivyoahidi; waasisi na wadau wa JF tuna maamuzi ambayo tutayafanya ili kulinda uwepo na uthabiti wa JF. Wakaopoteza ni wale wanaofikiri wamepata.
Kama haya Ndiyo Mawazo yenu tuna safari ndefu sana. Mnadhani na kuamini kabisa kuwa issue ya Maxence ni kuubwa hivyo mpaka watalii waache kuja? Tazameni mifano michache tu, Uganda Pamoja na kuhangaika na Kiiza Besigye, ambaye ni mkubwa Mara elfu moja na kitu kwa Maxence bado wana watalii na misaada kibao achilia mbali kupiga marufuku ushoga ambao Western world ni agenda yao kubwa. Kenya Pamoja na mambo ya 2007 na ugaidi bado watalii na misaada tele...tazameni mambo kwa uhalisia ni Si kuishi kwenye ndoto...Utalii moja, kitakachofuata ni kuanza kuangaliwa kwa jicho la tatu na wanaotusaidia kutupa half ya ugali wetu, halafu wakiona sivyo waanze kutubana. Tatizo ni kwamba wanao umia always ni wale wa kawaida na sio hawa wanaoleta huu ubabe wa kishamba.
Kaka mkubwa ANADHANI anajenga hehe akapanda mbegu atavuna soonABC news na Fox news za Marekani wamereport habari hii katika namna ambayo inatujengea taswira mbaya!
Watalii tutawasikia kwenye bomba,mtalii gani atakayesikia habari hiyo halafu aje?Si ataona nchi ni ya kidikteta
Haha u don't trust this dudeMy mind is playing tricks on me..may be,why do i have this gut feeling when it comes to Mwanakijiji???!..may be again my mind is playing tricks on me.
mbona tayar tunawaskia kwenye bomba ulizia Arusha kwa sasa hali ni mbaya.
Kama haya Ndiyo Mawazo yenu tuna safari ndefu sana. Mnadhani na kuamini kabisa kuwa issue ya Maxence ni kuubwa hivyo mpaka watalii waache kuja? Tazameni mifano michache tu, Uganda Pamoja na kuhangaika na Kiiza Besigye, ambaye ni mkubwa Mara elfu moja na kitu kwa Maxence bado wana watalii na misaada kibao achilia mbali kupiga marufuku ushoga ambao Western world ni agenda yao kubwa. Kenya Pamoja na mambo ya 2007 na ugaidi bado watalii na misaada tele...tazameni mambo kwa uhalisia ni Si kuishi kwenye ndoto...
Sasa wasome wengine humu Ndiyo utaelewa nimachomaanisha...hata ukiwa lengo ni sisi wenyewe unadhani tuna public yenye kujua nini kinachoendelea? Vanity of vanities kama Mhubiri anavyosema...uhalisia hauko hivyoSidhani kama lengo hasa ni hawa watu wa nje; binafsi sijali sana watu wa nje wanafanya nini. Lengo ni sisi wenyewe. Watu wengine wakituunga mkono sawa; wakikaa kimya sawa. Ni sisi kwa sisi ndio penye kazi hapa.
Jitafakari upya, haya ni sehemu ya matunda uliyoyapigania kwa jasho na damu mpaka ukaingia kwenye udairector wa kuandaa filamu hapa JF.Well, can't help you with that.
Kamanda huyu mzee ana nichanganya ujue ! laa nchi hii tupo mbali sana ! FREE MELO!Haya Harakati njema....Kufanya harakati na Mwanakijiji anayeunga mkono Sera za Giningi ni wendawazimu
NB; [HASHTAG]#Free[/HASHTAG] Max Melo#
Jitafakari upya, haya ni sehemu ya matunda uliyoyapigania kwa jasho na damu mpaka ukaingia kwenye udairector wa kuandaa filamu hapa JF.
Mungu huwa hamwachi salama mtu mnafiki. Huu ndio utawala ulioupigania wewe upewe madaraka.
Mtu muungwana kama hakubaliani ma maamuzi ya upande aliopo ukaa pembeni na si kuamia upande wa mashetani.
Si rahisi kwa wapigania haki kuja kukusamehe kwa usaliti huu kirahisi kwa ubinafsi wa shoga yako Dr Slaa.
Angalia credibility yako ilivyokufa unaanzisha useful thread lakini unaishia kupuuzwa tu, Mwanakijiji ninayemjuwa mimi enzi alizokuwa amejijengea heshima hii thread mpaka dakika hii ingekuwa inakimbiza page ya 100.
Kama wamepuuzwa Dr Slaa na Lipumba ndio sembuse wewe Anonymous? Jitafakari, jirekebishe na naamini umejifunza.
Kwa pamoja tutashinda.. Si mara ya kwanza watawala kutaka kutufunga midomo, kitu wasichoelewa ni kuwa katika ulimwegu huu wa sasa huwezi kuwafunga watu wote na kwa muda wote midomo.
Walianza na wapinzani, wakaja kwenye Bungelive, wakaenda kwenye vyombo vya habari, wakayafungia magazeti sasa wanataka kuchukua hata hiki kitu kidogo tulichobaki nacho? (yaani mtu kutoa mawazo yake bila kumuogopa mtu yeyote).
Kuwaacha watawala wafanye watalao kana kwamba sisi ni watoto wadogo nini kosa ambalo halitakiwa kufanywa na kizazi hiki ni lazima watanzania bila kujali itikadi zetu tuchore mstari, tuwambie watawala mpaka hapa basi, tumewachangua kwa ajili ya kutuongoza si kwa ajili ya kutupangia cha kusema.
Na kwa hili tutafanikiwa ikiwa sotekwa pamoja tutashikamana na kupigania haki yetu.
Kama haya Ndiyo Mawazo yenu tuna safari ndefu sana. Mnadhani na kuamini kabisa kuwa issue ya Maxence ni kuubwa hivyo mpaka watalii waache kuja? Tazameni mifano michache tu, Uganda Pamoja na kuhangaika na Kiiza Besigye, ambaye ni mkubwa Mara elfu moja na kitu kwa Maxence bado wana watalii na misaada kibao achilia mbali kupiga marufuku ushoga ambao Western world ni agenda yao kubwa. Kenya Pamoja na mambo ya 2007 na ugaidi bado watalii na misaada tele...tazameni mambo kwa uhalisia ni Si kuishi kwenye ndoto...
This dude been acting suspicious lately,kind of two facedHaha u don't trust this dude
Straight up compañero,may be this saga will be a turn around and someone will wake up from his deep sleep and see what we really meant when we rubbed the naked truth in his facethat makes the two of us...
hard for me to trust this guy any longer!
but let's put that one on the waiting list and deal perpendicularly with the Max situation. our togetherness is crucial now than ever!