Bila JF kujirekebisha hakuna ushindi. Kama USA wanamtaka kumnyonga snowden (JF STLYE YAKE) na kama China hawaruhusu social media forums kama JF na bado wana maendeleo sembuse sisi ambao ndiyo tumepata mkombozi! Max na uongozi wa JF inabidi wakubali ya serikali, wajue hakuna wanachopigania, watz si viumbe waaminifu ndiyo maana Dj alijiwahi vibilion vyake kadhaa akamuachia zigo nyeupe sasa anahangaika nalo