Je Suis Maxence...

ABC news na Fox news za Marekani wamereport habari hii katika namna ambayo inatujengea taswira mbaya!
Watalii tutawasikia kwenye bomba,mtalii gani atakayesikia habari hiyo halafu aje?Si ataona nchi ni ya kidikteta
 
ABC news na Fox news za Marekani wamereport habari hii katika namna ambayo inatujengea taswira mbaya!
Watalii tutawasikia kwenye bomba,mtalii gani atakayesikia habari hiyo halafu aje?Si ataona nchi ni ya kidikteta
Underground movement on the move, tumeanza kupata international support.
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG].
 
Sijui madreamliner yao yataenda kupakia nani?

ABC news na Fox news za Marekani wamereport habari hii katika namna ambayo inatujengea taswira mbaya!
Watalii tutawasikia kwenye bomba,mtalii gani atakayesikia habari hiyo halafu aje?Si ataona nchi ni ya kidikteta
m
 
Kwa pamoja tutashinda.. Si mara ya kwanza watawala kutaka kutufunga midomo, kitu wasichoelewa ni kuwa katika ulimwegu huu wa sasa huwezi kuwafunga watu wote na kwa muda wote midomo.
Walianza na wapinzani, wakaja kwenye Bungelive, wakaenda kwenye vyombo vya habari, wakayafungia magazeti sasa wanataka kuchukua hata hiki kitu kidogo tulichobaki nacho? (yaani mtu kutoa mawazo yake bila kumuogopa mtu yeyote).

Kuwaacha watawala wafanye watalao kana kwamba sisi ni watoto wadogo nini kosa ambalo halitakiwa kufanywa na kizazi hiki ni lazima watanzania bila kujali itikadi zetu tuchore mstari, tuwambie watawala mpaka hapa basi, tumewachangua kwa ajili ya kutuongoza si kwa ajili ya kutupangia cha kusema.
Na kwa hili tutafanikiwa ikiwa sotekwa pamoja tutashikamana na kupigania haki yetu.
 





Kama nilivyoahidi; waasisi na wadau wa JF tuna maamuzi ambayo tutayafanya ili kulinda uwepo na uthabiti wa JF. Wakaopoteza ni wale wanaofikiri wamepata.
Tanzania police force is led by twits.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…