Ndio nimeelewa mkuu hio hio CCMRDB ndio nimesema akaunti ya bank sio yako ni ya bank kwa hio siku nyingine usije ukafungua akaunti bank ukaanza kujisifu nina akaunti yangu bank sio akaunti yako ni akaunti ya bank
Mkuu punguza jazba basiNaongelea CRDB si CCMRDB.
Straight to ignore list.
Kuanzia hapa sitaona unachoand8ka.
Hivi DSE walishatoa tamko au maelezo kuhusu JATU?!Niliacha kuifuatilia DSE na makampuni yaliyosajiriwa humo baada ya channels na page rasmi za DSE kuifanyia promo ile kampuni ya kilimo ya kitapeli JATU PLC iliyokuwa inauza hisa moja shilingi 5,000.
Kampuni hiyo ilikuwa inalipa wasanii mmojawapo kama sikosei alikuwa Mrisho Mpoto, walikuwa wanapanda kwenye Canter na wanenguaji wakitangaza kushawishi watu wanunue hisa. Nikajua hamna kitu pale, wewe tangu lini mwekezaji akashawishika kwa kutumia wanenguaji. Sasa DSE ndio ilikuwa inapigia promo JATU iliyokuwa sijui ndio inatoa I.P.O muda ule.
Tangu lini TFF regulator wa kandanda ikahamisha Watanzania washabikie Namungo kwenye ligi kuu.
Nawashangaa sana watu wanaowekeza hela sehem ambapo siasa ndio inaamua uchumi badala ya uchumi uamue siasa. Ukuaji wako utategemea kauli ya mwanasiasa. Bora ununue hisa hapo kenya angalau soko ndio linaamua uchumi sio wanasiasa.Soko la hisa huendeshwa na mwenendo wa kampuni husika.
Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake?
Iweje Vodacom imepata faida ya 90bil ila hisa zake imebaki 580 ile ile?
Tumezoea kuona masoko ya nje kama nasdaq, nyse, lse, hangseng zote hizo ikitokea kampuni imefanya vibaya au vizuri basi athari zinaonekana moja kwa moja (hasi na chanya).
Je DSE wanacheza kwa kuongeza thamani na kushusha wajisikiavyo?
Juzi ORACLE imeongezeka thamani kwa 41% baada ya faida kubwa kuliko matarajio, iweje voda thamani yake ibaki vile vile?
Niuzie basi ama unigawie Mana naona wewe unazo nyingi mpaka pomoniAkili huna
Account ...nashauri kufungua fixed account hata kawa hela ya kawaida (ndogo).... ni ngumu kuibiwa fedha zako kwenye fixed account...kama una milioni hata mbili weka fixed account tu siyo account za kawaidaMkuu kwa hiyo bora mtu akaweka fixed account tu?
Sawa mkuuAccount ...nashauri kufungua fixed account hata kawa hela ya kawaida ni ngumu kuibiwa fedha zako kwenyd fixed account...kama una milioni hata mbili weka fixed account tu s9yo account za kawaida
Hiyo ni crime kabisa.Ni Uswahili wa hali ya juu walifanya hata nikaacha follow pages zao na app yao nikatoa kwa simu. Nikawa na wasiwasi nao kuna siku watapoteza watu, wewe msomi gani wa uchumi anaruhusu JATU kuwa listed kwenye stock exchange. Model yenyewe tu ilionekana ponzi. Haikuchukua hata 2 yrs, sasa hapo kuna regulator serious kweli au wala mishahara tu.
Ila kwa kweli hapo kwa JATU naunga mkono hoja,sasa sisi wenye vipato vidogo tukaweke wapi hela zetu🙆🏾♀️🙆🏾♀️huko UTT ndio sikuamini nafsi yangu imegoma japo napewa elimu sana.Ni Uswahili wa hali ya juu walifanya hata nikaacha follow pages zao na app yao nikatoa kwa simu. Nikawa na wasiwasi nao kuna siku watapoteza watu, wewe msomi gani wa uchumi anaruhusu JATU kuwa listed kwenye stock exchange. Model yenyewe tu ilionekana ponzi. Haikuchukua hata 2 yrs, sasa hapo kuna regulator serious kweli au wala mishahara tu.
Haya njoo nikutombe sasaMimi basha mstaafu
Sikuizi nimeacha ubasha yahee ...niunganishie mama yako sawaHaya njoo nikutombe sasa
Ndo namtomba mama ako sahvSikuizi nimeacha ubasha yahee ...niunganishie mama yako sawa
Ukimaliza njoo nikupe pesa kijanaNdo namtomba mama ako sahv
Ukimaliza njoo nikupe pesa kijana
Mkuu hapo kwenye mabano inatakiwa iwe DRIVENPili DSE hawapangi bei bali bei inakuwa (drived) na law ya demand na supply.
Umeongea vizuri sana. Bora Ujichange ukimbulie nje ukawekeze maana Wenzetu wana regulations nzuri sanaKabisa mtu na akili zake anaenda kuwekeza kwenye stock market ya bongo in a long run?
Bongo hii ambayo imejazaa uhuni na siasa kila kona mtu anaweka mamilioni yako eti unasubiri faida baada ya miaka kadhaa na wakati mkipata mwanasiasa mwehu tu hela zako zote zinayeyuka kama ilivyokuwa kwa precision air shares kipindi cha magufuli?
Ni heri nijichange change nikanunue zangu shares za apple huko kwenye masoko yanayoeleweka.
Nakumbuka mwanzoni mwa mwaka huu kipindi kile Elon Musk anawavuruga sana wamarekani na wizara yake mpya ya DOGE.Umeongea vizuri sana. Bora Ujichange ukimbulie nje ukawekeze maana Wenzetu wana regulations nzuri sana
Hata Rostam alishasema Hakuna Mwekezaji atakayekuja Kuwekeza kwenye nchi ambayo Wanasiasa wana nguvu kuliko sheria za Kibiashara