Je, sisi bado ni watumwa?

Je, sisi bado ni watumwa?

Mundali

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
749
Reaction score
164
Katika mchakato huu wa uchaguzi, mgombe wa chama cha mapinduzi amesikika akitoa ahadi kemkem, kule atawapa meli, wengine maji ya kudumu na kadhalika.
Kinachonishangaza ni kwamba utekelezaji wa ahadi zake unategemea wafadhili zaidi kuliko ubunifu wa vyanzo vya mapato vya ndani. Hali hii haina tofauti na mvulana anaemuahidi rafiki yake wa kike mkufu wa dhahabu akitegemea kuomba fedha kwa baba.

JK hayo ni mawazo ya kitumwa, amka ndugu yetu hakuna mjomba toka nje atakayewapa maji watanzania bila kuwachuna. Nakumbuka msemo wako "ukitaka kula sharti nawe uliwe" angalia usije ukaliwa wewe na ukaishia kunawa tu.

JK japo ubunifu kidogo tu, misamaha ya kodi inazidi makusanyo! Huoni haya mabo?

Ati elimu bure haiwezekani, bila aibu wewe na kinana mnatamka maneno hayo. Mnaweza kuwaonesha watanzania risiti mlizolipiwa ada na wazazi wenu? Mbona ninyi mlisoma tena si bure tu, na posho za kununulia sabuni na kadhalika mlipewa, bila kusahau usafiri bure kutoka na kwenda mashuleni. Mnafikiri wadanganyika wamesahau "TRC warranties".
Tena hata hamumwogopi Mungu ati Slaa anawadanganya wananchi, hapo nani hasa mwongo? Nyerere alitoa wapi pesa ya kuwasomesha bure JK?
Mmeshindwa kaeni pembeni waacheni wanaoweza waongoze!
 
JK hawezi kuamka ndugu. JK ameingia urais akiwa usingizini. Sasa ndo amelala fofofo. Ndo maana kila akizinduka anadanganywa kisha anaendelea na usingizi.

Muhimu tumpunzishe mwaka huu ili aendelee na usingizi wake. Hakika hakuna atakayemsumbua hata alale masaa 24.

Jitahidi kuwahamasisha watu tusaidiane kumpa JK muda wa kulala zaidi.

Kura zote kwa Chadema
 
Katika mchakato huu wa uchaguzi, mgombe wa chama cha mapinduzi amesikika akitoa ahadi kemkem, kule atawapa meli, wengine maji ya kudumu na kadhalika.
Kinachonishangaza ni kwamba utekelezaji wa ahadi zake unategemea wafadhili zaidi kuliko ubunifu wa vyanzo vya mapato vya ndani. Hali hii haina tofauti na mvulana anaemuahidi rafiki yake wa kike mkufu wa dhahabu akitegemea kuomba fedha kwa baba.

JK hayo ni mawazo ya kitumwa, amka ndugu yetu hakuna mjomba toka nje atakayewapa maji watanzania bila kuwachuna. Nakumbuka msemo wako "ukitaka kula sharti nawe uliwe" angalia usije ukaliwa wewe na ukaishia kunawa tu.

JK japo ubunifu kidogo tu, misamaha ya kodi inazidi makusanyo! Huoni haya mabo?

Ati elimu bure haiwezekani, bila aibu wewe na kinana mnatamka maneno hayo. Mnaweza kuwaonesha watanzania risiti mlizolipiwa ada na wazazi wenu? Mbona ninyi mlisoma tena si bure tu, na posho za kununulia sabuni na kadhalika mlipewa, bila kusahau usafiri bure kutoka na kwenda mashuleni. Mnafikiri wadanganyika wamesahau "TRC warranties".
Tena hata hamumwogopi Mungu ati Slaa anawadanganya wananchi, hapo nani hasa mwongo? Nyerere alitoa wapi pesa ya kuwasomesha bure JK?
Mmeshindwa kaeni pembeni waacheni wanaoweza waongoze!

Nimesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu hadi Masters bure. Shuleni tulipewa warranties za TRC kwenda na kurudi wakati wa likizo, chuo kikuu tulipewa nauli ya kwenda na kurudi wakati wa likizo, malazi, chakula, vitabu bure na isitoshe kila mwezi tulikuwa tunapewa boom. Huo ni wakati ambapo rasilimali nyingi za Tanzania zilikuwa bado kuanza kutumika tofauti na wakati huu. By the way nilianza darasa la kwanza miaka ya 1980,s na chuo kikuu 1980,s na hapo nilisoma na wengi ambao kwa sasa wapo kwenye uongozi wa nchi na nje ya nchi. Sote tulisoma bure!
 
JK hawezi kuamka ndugu. JK ameingia urais akiwa usingizini. Sasa ndo amelala fofofo. Ndo maana kila akizinduka anadanganywa kisha anaendelea na usingizi.

Muhimu tumpunzishe mwaka huu ili aendelee na usingizi wake. Hakika hakuna atakayemsumbua hata alale masaa 24.

Jitahidi kuwahamasisha watu tusaidiane kumpa JK muda wa kulala zaidi.

Kura zote kwa Chadema

Ama kweli "hakika mtu mwenye akili akijua kwamba una akili akakuambia jambo la kipumbavu na wewe ukalikubali atakudharau" na "ukiwa na kipande cha almasi, akaja tapeli na kipande cha chupa akakwambia mbadilishane na wewe ukakubali tena huku ukichekelea, unakuwa zuzu tu".
Enyi wana wa kilimanjaro, JK amewaahidi kuzungusha barabara za lami kwenye mlima wooote wa kilimanjaro, nanyi mmemshangilia kweli. Mwenzenu anawaona mazuzu tu! Kama kweli ni mtekelezaji wa ahadi, kawaulizeni watu wa kusini, kile kipande cha kilometa 60 alizoacha Mkapa kimewekwa lami? Kawaulizeni watu wa Singida kile kipande alichoacha mkapa kaweka lami? Na maeneo mengi tu. Huyo hasemi kweli, ndio sababu hata Tendwa alisema ahadi alizotoa ni uzushi mtupu.
 
Ama kweli "hakika mtu mwenye akili akijua kwamba una akili akakuambia jambo la kipumbavu na wewe ukalikubali atakudharau" na "ukiwa na kipande cha almasi, akaja tapeli na kipande cha chupa akakwambia mbadilishane na wewe ukakubali tena huku ukichekelea, unakuwa zuzu tu".
Enyi wana wa kilimanjaro, JK amewaahidi kuzungusha barabara za lami kwenye mlima wooote wa kilimanjaro, nanyi mmemshangilia kweli. Mwenzenu anawaona mazuzu tu! Kama kweli ni mtekelezaji wa ahadi, kawaulizeni watu wa kusini, kile kipande cha kilometa 60 alizoacha Mkapa kimewekwa lami? Kawaulizeni watu wa Singida kile kipande alichoacha mkapa kaweka lami? Na maeneo mengi tu. Huyo hasemi kweli, ndio sababu hata Tendwa alisema ahadi alizotoa ni uzushi mtupu.

mbona unakwenda mbali? aliahidi nini kwao wilayani bagamoyo na amewafanyia nini?
 
Katika mchakato huu wa uchaguzi, mgombe wa chama cha mapinduzi amesikika akitoa ahadi kemkem, kule atawapa meli, wengine maji ya kudumu na kadhalika.
Kinachonishangaza ni kwamba utekelezaji wa ahadi zake unategemea wafadhili zaidi kuliko ubunifu wa vyanzo vya mapato vya ndani. Hali hii haina tofauti na mvulana anaemuahidi rafiki yake wa kike mkufu wa dhahabu akitegemea kuomba fedha kwa baba.

JK hayo ni mawazo ya kitumwa, amka ndugu yetu hakuna mjomba toka nje atakayewapa maji watanzania bila kuwachuna. Nakumbuka msemo wako "ukitaka kula sharti nawe uliwe" angalia usije ukaliwa wewe na ukaishia kunawa tu.

JK japo ubunifu kidogo tu, misamaha ya kodi inazidi makusanyo! Huoni haya mabo?

Ati elimu bure haiwezekani, bila aibu wewe na kinana mnatamka maneno hayo. Mnaweza kuwaonesha watanzania risiti mlizolipiwa ada na wazazi wenu? Mbona ninyi mlisoma tena si bure tu, na posho za kununulia sabuni na kadhalika mlipewa, bila kusahau usafiri bure kutoka na kwenda mashuleni. Mnafikiri wadanganyika wamesahau "TRC warranties".
Tena hata hamumwogopi Mungu ati Slaa anawadanganya wananchi, hapo nani hasa mwongo? Nyerere alitoa wapi pesa ya kuwasomesha bure JK?
Mmeshindwa kaeni pembeni waacheni wanaoweza waongoze!

Kweli kaka.
 
Eeeh! Hadi bagamoyo amewadanganya? Nyumban?kuwa serious mkubwa
 
Back
Top Bottom