The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Upi huo lol!!mie ntaondoka lakini lazima nichukue mguu wa tatu..
Upi huo lol!!mie ntaondoka lakini lazima nichukue mguu wa tatu..
Huwezi kutabiria, kwani hasira ni ya pale pale. Ndiyo maana unasikia wengine wameua bila ya kukusudia.
Mzee usiombe wengine unaweza hata kuzimia kabisa.
Upi huo lol!!
KUNG FU PANDA lazima ziwe nyingi sana lolwa mwisho kuroka ndani kwangu..
KUNG FU PANDA lazima ziwe nyingi sana lol
Hahahaha unamuachia signature ambayo kila akiangalia anakumbuka siku ya tukio lolhahahahah
ukimwachia mwizi aondoke na miguu yote
atarudi tena lakini ukichukua mmoja mmmhhhh
Hahahaha unamuachia signature ambayo kila akiangalia anakumbuka siku ya tukio lol
Tunashukuru sana na sie twawapenda sana lolAfro na Finest tunawasalimia na tunawapenda.
Afro na Finest tunawasalimia na tunawapenda.
Hahahaha watu mna mikwara lolNikiwakuta ndo ntapata jibu.
:yield::yield::yield:asante mpenzi
Tunawasalimu na Tunawapanda pia
Karibuni kwa chakula cha jioni leo..
TF atapika his favorite dish ( macaroni cheese)
hahahah lol
sijui kwasababu nakuona kama mkali mkali vileMi nitatoka ila nitawaambia wakimaliza waniambie.
sijui kwasababu nakuona kama mkali mkali vile
nawatengenezea supu ya kongoro ili wakimaliza warudishe nguvu!