Je, Shisha ni nini? Madhara yake ni yepi?

Je, Shisha ni nini? Madhara yake ni yepi?

Shisha ni KIKO ambacho hutumia kuvutumia tumbaku na kilianza kutumika tangu miaka 1600s huko arabun na nchi nyingne za ulaya.Kutoka katika KIKO kuja modern ambayo ni shisha inayotumia gas au umeme ili kurahisisha uvutaji wa tumbaku.POINT ya msingi je? SHISHA INAUHUSIANO GANI NA MADAWA YA KULEVYA? hakuna maana hapo jamii nying za kiarabu wanatumia shisha kama chombo cha kuvutia tumbaku na pia hotel kubwa kubwa zipo kwa ajili ya matumizi hayo tunapobadilisha maana tu pale inapotumika tofauti NA vijana wanaotumia unga na bange JE UNAMTHIBITISHAJE HUYO MTU KATUMIA SHISHA AU KIKO KAMA CHOMBO CHA KUVUTIA BANGI AU COCAINE?

Kuna michanganyiko mingi sana mpaka radha ya kitu ambacho utatumia katika shisha yako vitu vingi ni vya asili ya kiarabu mpaka kuna mchanganyiko wa ndizi na tikiti maji upo yote katika kuleta radha tu.

Point ya msingi ni hii hapa kiafya kama itatumika kwa mtu zaidi ya mmoja ile pipe yake HEPATITS,INFLUENZA,TUBERCLOSIS,INFLUENZA,H.PYLOL na magonjwa mengne hyo ndio point ya msingi hakuna kingne zaidi ya hicho
kama hivyo ndivyo ilivyo kwanini hii ishu inasimamisha nchi kila mtu anaijadili kana kwamba shisha ni kitu cha hatari zaid kuwahi kutokea katika historia,ya binaadamu
 
Matatizo ya foleni mashimo barabarani mifereji michafu wanafunzi kukosa usafiri nakadhalika, ni makubwa katika jiji la Dar kuliko SHISHA.
SHISHA NI TATIZO KUBWA KULIKO UNAVYOFIKIRIA
Uvutaji wa shisha au hookah umekuwa kama fasheni hasa kwa vijana wanaoinukia.
Wengi wanadhani kuwa shisha ni salama zaidi ya sigara na kwa imani hiyo, hata kina dada nao wamejiingiza
kwa wingi kwenye 'fasheni hiyo'.
Wengi wanadhani kuvuta moshi wa sigara yaliyopita kwenye maji ni salama zaidi ya sigara/cigar za kawaida.
Dhana hii imejengeka kutokana na imani kuwa kwa vile moshi wa sigara na vikorombwezo vingine huchujwa na maji kabla kuvutwa kwa mdomo ni salama.
Vijana wanavutiwa sana na fasheni hii kutokana na uhamasishaji ambao unafanyika dunia nzima kuhusu athari za uvutaji wa sigari pamoja na bidhaa za tumbaku. Hivyo na kuwafanya waamini kuwa shisha ni mbadala mzuri wa uvutaji wa sigara/cigar lakini ukweli ni kuwa uvutaji wa shisha ni hatari zaidi ya sigara za kawaida.

Ukweli ni kwamba mvutaji wa shisa huvuta moshi zaidi kulika mvutaji wa sigara kwani muda unaotumika kwenye shisha ni mwingi zaidi kuliko ule unaotumiwa na mvuta sigara wa kawaida.
Shirika la Afya dunia linaarifu kuwa kuvuta shisa kwa muda wa saa moja ni sawa na mtu anayevuta sigara 100 kwa mpigo. Ingawa moshi wa shisa huchujwa na maji lakini mabaki ya moshi huo bado yanakuwa na kiwango kikubwa cha kemikali zinazosababisha cancer na matatizo ya moyo.
Kwa ufupi moshi wa shisha unaviwango vifuatavyo:-
1. carcinogenic tar x 36 zaidi;
2. carbon monoxide x 15 zaidi
3.kiwango kikubwa cha lead, nickel na arsenic
4.kiwango kikubwa cha hydrogen cyanide na sumu nyingine
5. kiwango kikubwa cha nicotine ambacho hukufanya kuwa teja wa shisha
Kama tuna wahamasisha vijana wetu kutokana na madhara ya ukimwi pamoja na madawa ya kulevya basi kwa mijini inapaswa tuhamasishe vijana wetu kuhusu athari za shisha pamoja na viroba [mada hii nitaitolea maelezo yake wakati ujao]
 
SHISHA NI TATIZO KUBWA KULIKO UNAVYOFIKIRIA
Uvutaji wa shisha au hookah umekuwa kama fasheni hasa kwa vijana wanaoinukia.
Wengi wanadhani kuwa shisha ni salama zaidi ya sigara na kwa imani hiyo, hata kina dada nao wamejiingiza
kwa wingi kwenye 'fasheni hiyo'.
Wengi wanadhani kuvuta moshi wa sigara yaliyopita kwenye maji ni salama zaidi ya sigara/cigar za kawaida.
Dhana hii imejengeka kutokana na imani kuwa kwa vile moshi wa sigara na vikorombwezo vingine huchujwa na maji kabla kuvutwa kwa mdomo ni salama.
Vijana wanavutiwa sana na fasheni hii kutokana na uhamasishaji ambao unafanyika dunia nzima kuhusu athari za uvutaji wa sigari pamoja na bidhaa za tumbaku. Hivyo na kuwafanya waamini kuwa shisha ni mbadala mzuri wa uvutaji wa sigara/cigar lakini ukweli ni kuwa uvutaji wa shisha ni hatari zaidi ya sigara za kawaida.

Ukweli ni kwamba mvutaji wa shisa huvuta moshi zaidi kulika mvutaji wa sigara kwani muda unaotumika kwenye shisha ni mwingi zaidi kuliko ule unaotumiwa na mvuta sigara wa kawaida.
Shirika la Afya dunia linaarifu kuwa kuvuta shisa kwa muda wa saa moja ni sawa na mtu anayevuta sigara 100 kwa mpigo. Ingawa moshi wa shisa huchujwa na maji lakini mabaki ya moshi huo bado yanakuwa na kiwango kikubwa cha kemikali zinazosababisha cancer na matatizo ya moyo.
Kwa ufupi moshi wa shisha unaviwango vifuatavyo:-
1. carcinogenic tar x 36 zaidi;
2. carbon monoxide x 15 zaidi
3.kiwango kikubwa cha lead, nickel na arsenic
4.kiwango kikubwa cha hydrogen cyanide na sumu nyingine
5. kiwango kikubwa cha nicotine ambacho hukufanya kuwa teja wa shisha
Kama tuna wahamasisha vijana wetu kutokana na madhara ya ukimwi pamoja na madawa ya kulevya basi kwa mijini inapaswa tuhamasishe vijana wetu kuhusu athari za shisha pamoja na viroba [mada hii nitaitolea maelezo yake wakati ujao]
Sawa... Ila sio tatizo pekee lenye kuhitaji kusimamiwa
 
Sawa... Ila sio tatizo pekee lenye kuhitaji kusimamiwa
Kila kikubwa kilianza na udogo na kwenye udogo wake tatizo hili linaweza kudhibitiwa kirahisi zaidi bila kuleta athara kama ilivyo sasa kwenye tatizo la viroba kwa vijana, madawa ya kulevya nk.
 
Kuna mdau anatetea hawa ::&#*#(#^#/@ hivi shisha ina muathiri vipi mama wa uswazi ambaye anakabwa vichochoroni dar, vipi usafi wa jiji la dar??ujambazi dar???
Point ni kwamba haruna priority,yan wanatafuta umaarufu tu
 
Wanasayansi watanzania wanatuambia shisha ni nini?Its active ingredient,mode of action na effects zake katika mwili wa binadamu?Huyu Makon-Dar,alitumia sheria gani kuwatisha wauza shisha hadi wakataka kumuhonga milioni tano kila mmoja?Wataalamu tuambieni,isije ikawa hata ninyi hamjui ni kitu gani.
 
Acheni uchochezi think out Tanzania is for all why can't we settle disputes together
 
Back
Top Bottom