Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
sasa hyo shisha kuna wengine wanaongeza na marijuana weeee,mi nilijaribu cku moja tulikua kwny party kumbe walichanganya na hiyo bangee,kesho yake wakanipigia simu kuniambia,nilichoka nimekoma!