Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,622
- 19,717
Ukijiua utaondoka na Wategemezi wako ? Utatulipia wadau Pesa za Nauli ya kwenda kukuzika na Pole za kuwapa jamaa zako wa Karibu ?I second you ,kama mnaamini democracy kwa nn hamtaki mtu kujiua? Kila mtu yupo free labda kama anafuata dini au mila fulani maana haziruhusu..
Dunia ina mengi sana sometime mambo yanagoma kabisa....
Kumbuka Demokrasia yako isiwe kuro kwa mwingine ndio maana nikasema kama umemaliza / hauna majukumu jipeleke tu pale utakapozikwa, chimba kabisa kaburi na acha gharama ya funeral services..., binafsi naweza kusema hapo utakuwa umetendea Haki, HAKI yako....