Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,238
- 4,059
Kwa sheria za Tanzania, jaribio lolote la kutaka kujiua ni JINAI, na ukinusurika, unaingia kwenye vyombo vya dola na kushitakiwa.
Hii inapingana na uhuru wa mtu binafsi (Autonomy) kujiamulia maisha yake.
Euthanasia (Mercy Killing) ambayo ni Voluntarily, muhusika mwenyewe kwa msaada wa watu wa Afya, aidha kwa kutumia dawa, lethal injection au kukatiwa Oxygen in a peaceful way anaridhia kufa.
Tumeshuhudia baadhi ya wa TZ, kujipiga risasi, kujitundika kamba au kupanda gorofani na kujiachia. Hii ni aina mbaya ya Euthanasia ambayo wakati mwingine mtu hafi na kubaki kilema kibaya au kubaki kwenye damage kwa muda mrefu.
Kwa kutambua uhuru wa kujitoa uhai, Serikali kupitia bunge tukufu, je inahaja ya kupitia na kupitisha Sheria itakayotoa Uhuru wa kujitoa uhai ili hata wagonjwa walio kwenye terminal stages , wawe assisted suicide badala ya kuendelea kuishi kwenye maumivu makali yasiyo na tiba kama vile kansa, Aids stage 4 or debilitating damage .
Nawasilisha
Hii inapingana na uhuru wa mtu binafsi (Autonomy) kujiamulia maisha yake.
Euthanasia (Mercy Killing) ambayo ni Voluntarily, muhusika mwenyewe kwa msaada wa watu wa Afya, aidha kwa kutumia dawa, lethal injection au kukatiwa Oxygen in a peaceful way anaridhia kufa.
Tumeshuhudia baadhi ya wa TZ, kujipiga risasi, kujitundika kamba au kupanda gorofani na kujiachia. Hii ni aina mbaya ya Euthanasia ambayo wakati mwingine mtu hafi na kubaki kilema kibaya au kubaki kwenye damage kwa muda mrefu.
Kwa kutambua uhuru wa kujitoa uhai, Serikali kupitia bunge tukufu, je inahaja ya kupitia na kupitisha Sheria itakayotoa Uhuru wa kujitoa uhai ili hata wagonjwa walio kwenye terminal stages , wawe assisted suicide badala ya kuendelea kuishi kwenye maumivu makali yasiyo na tiba kama vile kansa, Aids stage 4 or debilitating damage .
Nawasilisha