Je, Serikali inawakomoa watumishi kwa hasira?

ThaGreatman

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
708
1,465
Nianze kwa kukupongeza Mh.Rais,kwa majukumu mengi uliyonayo ya kulijenga taifa hili masikini, si kazi ndogo!

Mh.Rais,natambua fika kwamba andiko langu hili laweza kujadiliwa kwa namna tofauti na watu tofauti tofauti,(ubinadamu asilia). Wafanyakazi walio wengi hawaelewi na hata sisi wengine hatuelewi sintofahamu hii katika utumishi wa umma,unasababishwa na nini haswa?Ni mwaka wa NNE sasa watumishi stahiki zao za kisheria hazitekelezwi,(hakuna ongezeko la mishahara,wala kupandishwa vyeo,au madaraja kama ilivyozoeleka kuitwa), hivi tatizo ni kwamba hatuna fedha?au umeamua kukomoa watumishi wa umma kwa makusudi?

Kuna wakati ziliwahi kusikika tetesi kwamba,"watumishi wa umma walio wengi,walimuunga mkono mshindani wako mkubwa katika uchaguzi wa 2015" na hivyo ulikuwa hasira nao kweli kweli kwa kuwa hawakuonyesha ushirikiano (sina hakika kama kauli hii ilikuwa na ukweli au lah!), lakini yote kwa yote, ni kwamba watumishi wa umma wanakiona cha mtema kuni!

Kama hisia za kuunga mkono Lowassa ndo chanzo kikuu cha kuwakausha juani watumishi wa umma,ni matumaini ya watumishi walio wengi sasa kwamba wataanza kuneemeka angalau kwa kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja yao,ili kukabiliana na mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilingi, kwa sababu waliyemuunga mkono sasa amerejea na kukuunga mkono,kwa maana nyingine watumishi sasa watakuwa waungaji mkono wazuri wa juhudi zako!

Kibaya zaidi ni kwamba hata sheria za utumishi wa umma sasa zinang'ata upande mmoja tu,(wa mtumishi),akienda kinyume na sheria na au kanuni za utumishi wa umma,kama zilivyorekebishwa mwaka 2002,anakiona cha mtema kuni,lakini sheria hiyo hiyo iliyompa wajibu mwajiri imepuuzwa na hakuna tatizo kabisa!(sheria imebaki na jicho moja pekee).

Mh.Rais,kwa heshima kubwa kabisa,tunaomba utazame kundi la watumishi wa umma,hao ndiyo wanawezesha maisha ya wengine kwenda sawa sawa!(angalau kwa kutupatia visenti kupitia biashara zetu ndogo ndogo na shughuli za ujenzi).

Watumishi wamejaa vinyongo ambavyo nadhani,2020 vinaweza kuleta changamoto sana kwenye kujinadi mbele yao!!!
 
Mtumishi wa halmashauri hupigwa nyundo kote kote.

Malalamiko ya wananchi yanamwijia kabla ya ngazi yoyote ile.

Hawezi kuyatatua kwa sababu serikali kuu haimpi hela ya kuyatatua.

Wakati huo huo kudharauliwa na wanasiasa.

Kutokuheshimiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hao ndio wanaoandamana kumuunga mkono. Na kula nyingi 2020 atazipata huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kwa kukupongeza Mh.Rais,kwa majukumu mengi uliyonayo ya kulijenga taifa hili masikini, si kazi ndogo!

Mh.Rais,natambua fika kwamba andiko langu hili laweza kujadiliwa kwa namna tofauti na watu tofauti tofauti,(ubinadamu asilia). Wafanyakazi walio wengi hawaelewi na hata sisi wengine hatuelewi sintofahamu hii katika utumishi wa umma,unasababishwa na nini haswa?Ni mwaka wa NNE sasa watumishi stahiki zao za kisheria hazitekelezwi,(hakuna ongezeko la mishahara,wala kupandishwa vyeo,au madaraja kama ilivyozoeleka kuitwa), hivi tatizo ni kwamba hatuna fedha?au umeamua kukomoa watumishi wa umma kwa makusudi?

Kuna wakati ziliwahi kusikika tetesi kwamba,"watumishi wa umma walio wengi,walimuunga mkono mshindani wako mkubwa katika uchaguzi wa 2015" na hivyo ulikuwa hasira nao kweli kweli kwa kuwa hawakuonyesha ushirikiano (sina hakika kama kauli hii ilikuwa na ukweli au lah!), lakini yote kwa yote, ni kwamba watumishi wa umma wanakiona cha mtema kuni!

Kama hisia za kuunga mkono Lowassa ndo chanzo kikuu cha kuwakausha juani watumishi wa umma,ni matumaini ya watumishi walio wengi sasa kwamba wataanza kuneemeka angalau kwa kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja yao,ili kukabiliana na mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilingi, kwa sababu waliyemuunga mkono sasa amerejea na kukuunga mkono,kwa maana nyingine watumishi sasa watakuwa waungaji mkono wazuri wa juhudi zako!

Kibaya zaidi ni kwamba hata sheria za utumishi wa umma sasa zinang'ata upande mmoja tu,(wa mtumishi),akienda kinyume na sheria na au kanuni za utumishi wa umma,kama zilivyorekebishwa mwaka 2002,anakiona cha mtema kuni,lakini sheria hiyo hiyo iliyompa wajibu mwajiri imepuuzwa na hakuna tatizo kabisa!(sheria imebaki na jicho moja pekee).

Mh.Rais,kwa heshima kubwa kabisa,tunaomba utazame kundi la watumishi wa umma,hao ndiyo wanawezesha maisha ya wengine kwenda sawa sawa!(angalau kwa kutupatia visenti kupitia biashara zetu ndogo ndogo na shughuli za ujenzi).

Watumishi wamejaa vinyongo ambavyo nadhani,2020 vinaweza kuleta changamoto sana kwenye kujinadi mbele yao!!!
Watumishi wa umma hawa athari yoyote kwa uchaguzi kwanza sio wapiga kura .Wanatakiwa wawe wazalendo kwa nchi yao pia afadhali yao wanapewa hata mishahara je wananchi wa kawaida wanapewa nini? Serikali inajenga Uchumi kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana pesa mkuu ,hazina bakuri jeupe hata hii mishahara inapatikana Kwa mbinde za bureau de change ,kufunga biashara za watu na kuwahalasi matajiri na wawekezaji kumemmaliza Jiwe completely .
 
Nianze kwa kukupongeza Mh.Rais,kwa majukumu mengi uliyonayo ya kulijenga taifa hili masikini, si kazi ndogo!

Mh.Rais,natambua fika kwamba andiko langu hili laweza kujadiliwa kwa namna tofauti na watu tofauti tofauti,(ubinadamu asilia). Wafanyakazi walio wengi hawaelewi na hata sisi wengine hatuelewi sintofahamu hii katika utumishi wa umma,unasababishwa na nini haswa?Ni mwaka wa NNE sasa watumishi stahiki zao za kisheria hazitekelezwi,(hakuna ongezeko la mishahara,wala kupandishwa vyeo,au madaraja kama ilivyozoeleka kuitwa), hivi tatizo ni kwamba hatuna fedha?au umeamua kukomoa watumishi wa umma kwa makusudi?

Kuna wakati ziliwahi kusikika tetesi kwamba,"watumishi wa umma walio wengi,walimuunga mkono mshindani wako mkubwa katika uchaguzi wa 2015" na hivyo ulikuwa hasira nao kweli kweli kwa kuwa hawakuonyesha ushirikiano (sina hakika kama kauli hii ilikuwa na ukweli au lah!), lakini yote kwa yote, ni kwamba watumishi wa umma wanakiona cha mtema kuni!

Kama hisia za kuunga mkono Lowassa ndo chanzo kikuu cha kuwakausha juani watumishi wa umma,ni matumaini ya watumishi walio wengi sasa kwamba wataanza kuneemeka angalau kwa kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja yao,ili kukabiliana na mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilingi, kwa sababu waliyemuunga mkono sasa amerejea na kukuunga mkono,kwa maana nyingine watumishi sasa watakuwa waungaji mkono wazuri wa juhudi zako!

Kibaya zaidi ni kwamba hata sheria za utumishi wa umma sasa zinang'ata upande mmoja tu,(wa mtumishi),akienda kinyume na sheria na au kanuni za utumishi wa umma,kama zilivyorekebishwa mwaka 2002,anakiona cha mtema kuni,lakini sheria hiyo hiyo iliyompa wajibu mwajiri imepuuzwa na hakuna tatizo kabisa!(sheria imebaki na jicho moja pekee).

Mh.Rais,kwa heshima kubwa kabisa,tunaomba utazame kundi la watumishi wa umma,hao ndiyo wanawezesha maisha ya wengine kwenda sawa sawa!(angalau kwa kutupatia visenti kupitia biashara zetu ndogo ndogo na shughuli za ujenzi).

Watumishi wamejaa vinyongo ambavyo nadhani,2020 vinaweza kuleta changamoto sana kwenye kujinadi mbele yao!!!
Hata akiongeza mshahara sasa mwaka huu 2019/2020 atakuwa ameshachelewa kupata support ya public sector employees. Amewaumiza kiasi kikubwa sana. Nimefanya survey ndogo tu maofisini. Hali si hali kwa kweli.Trust imeondoka. Silaha pekee itakayombakiza uncle madarakani ni matumizi ya vyombo vya dola ili ashindishwe. Kura? Nope!
 
Watumishi wa umma hawa athari yoyote kwa uchaguzi kwanza sio wapiga kura .Wanatakiwa wawe wazalendo kwa nchi yao pia afadhali yao wanapewa hata mishahara je wananchi wa kawaida wanapewa nini? Serikali inajenga Uchumi kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QU
Kwa hiyo tunakubaliana kwamba kwa sasa sheria hazina maana tena?
Unaweza kuwa na mtazamo sahihi kabisa,lakini je,sheria inasemaje kuhusu utumishi wa umma na maslahi yao?
 
Kama mijitu haijitambui ni bora iendelee kula msoto.
Elfu 20 ya siku moja tu iliwaandamanisha kumpongeza jiwe kwa kikokotoo ambacho kilikuwepo hapo awali na hakijawahi kumtajirisha mtumishi.
 
Watumishi wana hali mbaya sana,Nina ndugu zangu moja Mwalimu na mwingine nesi,wamekuwa mzigo bora hata hawa wanangu.Mishahara walikopa na board ikapita,labda walitegemea increment, Ni Balaa akikuonyesha take home,sijui hao wanao wahudumia huko nafikiri ni majanga!

Tusisahau Kikwete aliwapuuza kwa hotuba yenye ulinzi Mkali alikipata uchaguzi uliofuata!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumishi wana hali mbaya sana,Nina ndugu zangu moja Mwalimu na mwingine nesi,wamekuwa mzigo bora hata hawa wanangu.Mishahara walikopa na board ikapita,labda walitegemea increment, Ni Balaa akikuonyesha take home,sijui hao wanao wahudumia huko nafikiri ni majanga!

Tusisahau Kikwete aliwapuuza kwa hotuba yenye ulinzi Mkali alikipata uchaguzi uliofuata!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hapo kwenye bodi umegusa penyewe!!
Yaani nadhani ilikuwa namna ya kukomesha watumishi kwa kweli,maana kitendo cha kuifanyia marekebisho sheria ya bodi ya mikopo,na kuongeza kiwango cha marejesho kutoka 8% mpaka asilimia 15% lilikuwa rungu kweli kweli,kuna watu wamebaki na mishahara chini ya laki 3!,hapo anapaswa kulipa kodi ya nyumba,anunue chakula,ahudumie familia n.k!

Halafu mtu kama huyu,unamkaba pasipo kumpandisha cheo/daraja miaka 5,wala haumuongezei mshahara wake,jamani kweliiiiii???? watu wanaishia kuhesabu vidole wakiwa njiani peke yao,wakihesabu miaka iliyosalia kumaliza madeni yao,either bank,or bodi ya mikopo au vyote kwa pamoja!

Huu ni zaidi ya unyanyasaji aisee,watumishi wengi wa umma kwa awamu hii,wanaandaliwa kufa mapema kutokana na stress na maumivu ya ndani ya mioyo,hatimaye wataacha pension zao kwa wanaofaidi keki ya taifa!
 
Nianze kwa kukupongeza Mh.Rais,kwa majukumu mengi uliyonayo ya kulijenga taifa hili masikini, si kazi ndogo!

Mh.Rais,natambua fika kwamba andiko langu hili laweza kujadiliwa kwa namna tofauti na watu tofauti tofauti,(ubinadamu asilia). Wafanyakazi walio wengi hawaelewi na hata sisi wengine hatuelewi sintofahamu hii katika utumishi wa umma,unasababishwa na nini haswa?Ni mwaka wa NNE sasa watumishi stahiki zao za kisheria hazitekelezwi,(hakuna ongezeko la mishahara,wala kupandishwa vyeo,au madaraja kama ilivyozoeleka kuitwa), hivi tatizo ni kwamba hatuna fedha?au umeamua kukomoa watumishi wa umma kwa makusudi?

Kuna wakati ziliwahi kusikika tetesi kwamba,"watumishi wa umma walio wengi,walimuunga mkono mshindani wako mkubwa katika uchaguzi wa 2015" na hivyo ulikuwa hasira nao kweli kweli kwa kuwa hawakuonyesha ushirikiano (sina hakika kama kauli hii ilikuwa na ukweli au lah!), lakini yote kwa yote, ni kwamba watumishi wa umma wanakiona cha mtema kuni!

Kama hisia za kuunga mkono Lowassa ndo chanzo kikuu cha kuwakausha juani watumishi wa umma,ni matumaini ya watumishi walio wengi sasa kwamba wataanza kuneemeka angalau kwa kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja yao,ili kukabiliana na mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilingi, kwa sababu waliyemuunga mkono sasa amerejea na kukuunga mkono,kwa maana nyingine watumishi sasa watakuwa waungaji mkono wazuri wa juhudi zako!

Kibaya zaidi ni kwamba hata sheria za utumishi wa umma sasa zinang'ata upande mmoja tu,(wa mtumishi),akienda kinyume na sheria na au kanuni za utumishi wa umma,kama zilivyorekebishwa mwaka 2002,anakiona cha mtema kuni,lakini sheria hiyo hiyo iliyompa wajibu mwajiri imepuuzwa na hakuna tatizo kabisa!(sheria imebaki na jicho moja pekee).

Mh.Rais,kwa heshima kubwa kabisa,tunaomba utazame kundi la watumishi wa umma,hao ndiyo wanawezesha maisha ya wengine kwenda sawa sawa!(angalau kwa kutupatia visenti kupitia biashara zetu ndogo ndogo na shughuli za ujenzi).

Watumishi wamejaa vinyongo ambavyo nadhani,2020 vinaweza kuleta changamoto sana kwenye kujinadi mbele yao!!!

Sasa kama mnaona huko Serikalini mlikoajiriwa hakufai na hampendwi si mtoke tu na mje Kuungana nasi huku Uraiani kuliko kutupigia Kelele hapa? Acheni Rais Dkt. Magufuli awanyoosheni kwani mlizoea na mlizoeshwa vibaya na ningepata wasaa wa Kukutana nae JPM ningemwambia aongeze ' Dozi ' ya Kuwanyoosheni.
 
Sasa kama mnaona huko Serikalini mlikoajiriwa hakufai na hampendwi si mtoke tu na mje Kuungana nasi huku Uraiani kuliko kutupigia Kelele hapa? Acheni Rais Dkt. Magufuli awanyoosheni kwani mlizoea na mlizoeshwa vibaya na ningepata wasaa wa Kukutana nae JPM ningemwambia aongeze ' Dozi ' ya Kuwanyoosheni.
Baada ya Kuona CCM hakuna jipya GENTAMYCINE natangaza rasmi kurejea Nyumbani CHADEMA ambako sasa ndiyo Kumenoga - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama mnaona huko Serikalini mlikoajiriwa hakufai na hampendwi si mtoke tu na mje Kuungana nasi huku Uraiani kuliko kutupigia Kelele hapa? Acheni Rais Dkt. Magufuli awanyoosheni kwani mlizoea na mlizoeshwa vibaya na ningepata wasaa wa Kukutana nae JPM ningemwambia aongeze ' Dozi ' ya Kuwanyoosheni.
Hahahaaa,gentamycine bhana acha utani bhana,wewe unafurahia sheria za nchi zinapovunjwa?
Kama ameamua kuwanyongelea mbali,aibadili sheria tu,kama alivyobadili ile ya bodi ya mikopo na takwimu!

Lakini kucha sheria inasema hivi na yeye anatenda vile sio sawa sawa kabisa, japo kinachoendelea kitamgusa kila mtu,watumishi tunaofurahia maumivu yao leo,watakuwa wapenzi watazamaji pale wajasiriamali watakapokuwa wanalazimishwa kuuziwa vitambulisho,na baada ya kumalizana na wajasiriamali,wakulima nao wajiandae kuanza kulipia kodi kila ekari moja ya ardhi,kabla ya kushughulika na mazao yao,kama KOROSHOW!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom