Je serikali imeondoa kukopa kwa ESS?

Je serikali imeondoa kukopa kwa ESS?

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
635
Reaction score
705
Wadau salam.

Kipengele cha E Loan kwenye ESS,kimekuwa disabled ,ni muda sasa.Je serikali imeamua kuachana na mfumo huu na kurejea mfumo wa awali.

Ni vyema serikalinikatoa tamko kuliko kukaa kimya.
 
Kama serikali imeshindwa kuendesha miradi yake unadhani hii ESS, wataiweza? Ukitaka kujua hakuna uwajibikaji hawajatoa tangazo lolote
 
Back
Top Bottom