Rais MWANAMKE Tanzania at least bado for now...Hii nafasi ya Spika...ni nafasi kubwa mno kushkwa na MWANAMKE ..tutaifanyia kwanza Tathmini..kuamua Kama tuwape Nchi...tutaangaliaa uongozi wa Joyce Banda..na Hellen Sirleef ..na utamaduni wetu hasa mfumo dume...namna ya kuutokkomeza...kabla ya kuamua..pia tutaangalia
Kimataifa tumukuwa na asha rose migiro na Getrude Mongella ...tutaangalia uendaji wao....pia tutaangalia Kama wanawake wapo tayari kuwaamini wenzao
..nenda kalale uote tena ndoto nyingine. na nyingine na nyingine, kila siku uote urais urais urais!!!! muda wote akili yako na wajinga km wewe wanawaza urais tu..